- Thread starter
- #21
Wali, maharage, nyama kavu, juice ya Jero, na tunda moja mbiliAta na mm sijaelewa chochote kama ni chakula gani hiki maharage nyanya vitunguu ugali juice yn tafari
Harmony is my wife
Wali, maharage, nyama kavu, juice ya Jero, na tunda moja mbiliAta na mm sijaelewa chochote kama ni chakula gani hiki maharage nyanya vitunguu ugali juice yn tafari
mkuu read between lines utagundua huyu jamaa si mzima kiakili,,Kwani, Anapitia Nini?
Itakua, wewe rudia rudia.Ukielewa utanisaidia.Kwani huyu ni me au ke bcoz kuna sehemu ameitwa mama 😀😀haha hiyo story Yake nabaki nacheka Hadi Sasa hivi..
Anasema alisikia Sauti ya Mwanaume lakini ghafla ikawa ya kike Huku kwenye Uume kukiwa na Mpekecho daah
Ni ndefu sanan ila Ina furahisha nimesoma Yote na hapa narudia ili nijue mleta maada alikusudia Nini .
nime pitia thread Zake za Nyuma Ni kuwa Yupo Sawa TU .Naona Kuna ujumbe anaficha au kapenda kutuchekesha.
hahahahahaha
Ngoja kwanza nikale ili niisome vizuriSoma Ni Nzuri Sanaa,ukiisoma utacheka Mbavu Huna
Ndefu sana aisee! Nimeishia kat half sijaelewa loloteJamaa Umejua Kunifurahisha asehh daaah
Kweli???aha mkuu Soma utacheka Mbavu huna
Mkuu kwani umesahau ya deo kisandu?Unaweza kuwa mgonjwa wa ajiri ukajiunga jamii forums uka login na ukapost kabisa ?
haha Kama una stress Wewe Soma.Kweli???
ahhaha Soma hata kwa kuruka rukaNdefu sana aisee! Nimeishia kat half sijaelewa lolote
Sasa hebu tuambie ni nini husababisha hali kama uloyokuwa nayo hapo kabla kutokea?Ok man, kuna tabia za kawaida, Neurotic behavior na Psychotic behavior. Tabia ya kawaida hutafsiriwa na jamii yako. Najua ukweli wangu, najua ukweli wenu. Nahakikisha kwamba tabia yangu inabadikika kulingana na Mazingira, wakati na Na nina deal na nani. So bye bye Mental wards. Sehemu ambayo ningetakiwa ni kosea vigisufigusi zenu nitanyuti halafu baadae peke yangu nitashangaa dunia hii na hiyo na hapo tabasamu huitawala ofisi yangu.
Afunue siri ya ulimwengu wa vichaa ili tuweze kusaidiana nao na kuelewana. Wenzetu wanafanya utafiti kwa makusudi, sisi tunaogopa.Mkuu mbona kama umekuja na hali ileile ya ukichaa jf?
Pole sana ila nakutia moyo kwa kuwa uu karibu na kupona.
Kupona kutakuwa ni kuishi kama wanadamu wengine wanayoishi hata kama nyuma ya macho yetu ungali ukiyapitia masaibu
Endelea kutiririka ila uwe makini maana sio vyema kufunua siri za vichaa/ulimwengu wa hisia wa vichaa!