Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
Ok man, kuna tabia za kawaida, Neurotic behavior na Psychotic behavior. Tabia ya kawaida hutafsiriwa na jamii yako. Najua ukweli wangu, najua ukweli wenu. Nahakikisha kwamba tabia yangu inabadikika kulingana na Mazingira, wakati na Na nina deal na nani. So bye bye Mental wards. Sehemu ambayo ningetakiwa ni kosea vigisufigusi zenu nitanyuti halafu baadae peke yangu nitashangaa dunia hii na hiyo na hapo tabasamu huitawala ofisi yangu.
Endelea kupokea tiba mkuu..unaonekana bado unashida
