Nani alithubutu kuniuliza hili swali?

Nani alithubutu kuniuliza hili swali?

Ok man, kuna tabia za kawaida, Neurotic behavior na Psychotic behavior. Tabia ya kawaida hutafsiriwa na jamii yako. Najua ukweli wangu, najua ukweli wenu. Nahakikisha kwamba tabia yangu inabadikika kulingana na Mazingira, wakati na Na nina deal na nani. So bye bye Mental wards. Sehemu ambayo ningetakiwa ni kosea vigisufigusi zenu nitanyuti halafu baadae peke yangu nitashangaa dunia hii na hiyo na hapo tabasamu huitawala ofisi yangu.


Endelea kupokea tiba mkuu..unaonekana bado unashida
 
Sijamaliza kuisoma ila nikitulia nitaisoma vizuri, naamin humo ndani kuna ujumbe mkubwa na mzito sana
 
Sasa hebu tuambie ni nini husababisha hali kama uloyokuwa nayo hapo kabla kutokea?
Hayo mnayokumbana nayo ni halisi au ni hisia tu zisizo za kweli?
Na vipi msaada wako kwa watu wanaopiitia hali kama uliyokuwa nayo hapo kabla?

Funguka ili jamii isiwe inawanyanyapaa vichaa
Comming soon
 
Mkuu mbona kama umekuja na hali ileile ya ukichaa jf?
Pole sana ila nakutia moyo kwa kuwa uu karibu na kupona.
Kupona kutakuwa ni kuishi kama wanadamu wengine wanayoishi hata kama nyuma ya macho yetu ungali ukiyapitia masaibu

Endelea kutiririka ila uwe makini maana sio vyema kufunua siri za vichaa/ulimwengu wa hisia wa vichaa!
Kwa nini si vizuri kufunua ulimwengu wa hisia za vichaa. Kuna kipindi nilikaa naye mmoja ananipa visa vingi anavuoviona, na alipenda kunisimulia kwa sababu nilionesha kumuamini tofauti na watu wengine waliokuwa wakimbeza waziwazi!
 
Nimejitahidi kusoma nikiwa vitu sijaelewa haya nimekuja hapa timamu kabisa lakini pia sijaelewa..dah yaan nilichoelewa ni jehanamu *****

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok man, kuna tabia za kawaida, Neurotic behavior na Psychotic behavior. Tabia ya kawaida hutafsiriwa na jamii yako. Najua ukweli wangu, najua ukweli wenu. Nahakikisha kwamba tabia yangu inabadikika kulingana na Mazingira, wakati na Na nina deal na nani. So bye bye Mental wards. Sehemu ambayo ningetakiwa ni kosea vigisufigusi zenu nitanyuti halafu baadae peke yangu nitashangaa dunia hii na hiyo na hapo tabasamu huitawala ofisi yangu.
Nyuzi ya kwanza nilijua amefanya makusudi...sasa nyuzi hii naona kweli dishi limeyumba kama lote.......hakuna mtu hapo walah
 
Unaweza kuwa mgonjwa wa ajiri ukajiunga jamii forums uka login na ukapost kabisa ?
Tofauti kati ya kudata na utimamu ni ndogo sana....huyu amedata kiaina lakini huwa anajitambua muda mwingine
 
Back
Top Bottom