RockSpider
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 6,861
- 2,754
Lowassa akipitishwa CCM inaanguka. I give you my word.
"Kutafuta mgombea safi wa urais ndani ya ccm ni sawa na kutafuta bikra kwenye wodi ya wazazi!"
Alipogusia kashfa ya Richmond huko Dodoma na kuahidi kuizungumzia zaidi tarehe 30/5/2015 huko Arusha,Lowassa alishaingia kwenye 'kumi na nane' za Dr. Harrison Mwakyembe, Samwel Sitta na waliokuwa wajumbe wa Kamati Teule ya Bunge. Kimsingi, hata Lucas Seleli angeibuka na kumwanika Lowassa. Lowassa angeumbuka mchana kweupe kwa kuwekwa hadharani hata yale yaliyofichwa Bungeni mwaka 2008.
Huko Arusha Lowassa hakuthubutu kuelezea kuhusu kashfa iliyomng'oa kwenye Uwaziri Mkuu ya Richmond kama alivyoahidi Dodoma. Nini kilimshtua? Nani alimshtua? Lowassa atambue kuwa anaishi kwenye nyumba ya vioo na hivyo asichokoze ugomvi wa mawe.
"Kutafuta mgombea safi wa urais ndani ya ccm ni sawa na kutafuta bikra kwenye wodi ya wazazi!"
Duh........ hii ni kali kuliko!"Kutafuta mgombea safi wa urais ndani ya ccm ni sawa na kutafuta bikra kwenye wodi ya wazazi!"
ndio mda aliona unafaa kusema ,kwan aliposema hahusiki si ulielewa alichosema! alikuwa wapi siyo jamb la msing, la maana ni yy kusema alichodhamiria ww uelewe, na uvhambuz wako uanzie hapo!
Dhamira yake ilimsuta kwani ukweli anaujua. Na hii tu inaonyesha hafai kua rais. Kama alituahidi Dodoma ataweka wazi kila kitu kuhusu Richmond siku anatangaza nia Arusha baada ya siku saba tu akatangaza nia na hakuongelea kuhusu Richmond inamaana alisahau. Je akipewa nchi si atatoa ahadi na kusahau siku ya pili tu au palepale jukwaani
"Kutafuta mgombea safi wa urais ndani ya ccm ni sawa na kutafuta bikra kwenye wodi ya wazazi!"