wakushanga
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 552
- 92
Kura ya urais kwa Dr.Magufuli. wabunge,madiwani UKAWA
Hii itasaidia kuleta balance bungeni.
Kura ya urais kwa Dr.Magufuli. wabunge,madiwani UKAWA
Hapa kazi tu..watu wakura ikulu mwisho unefika..viva magufuli
Una maana gani?Hao wanao andika andika tumagazeti uchwara ipo siku watakuja kulala na njaa.
Nilimkataa Lowassa akiwa CCM, ninaendelea kumkataa hata akiwa nje ya CCM. Hafai kuwa Rais wa Tanzania.
Kura yangu itaenda kwa wabunge wa upinzani ili kuliweka bunge katika hali ya usawa(balanced) ili lifanye kazi sahihi ya kutunga sheria na kuisimamia serikali ya Magufuli na siyo kuwa rubber stamp ya serikali.
I cant let my beautiful country go to the dogs.
Lowassa ikulu never
Mbowe amewauzia wanaCHADEMA/UKAWA mbuzi kwenye gunia!Matatizo yote hayo chanzo nikuwa Na mwenyekiti mungumtu Na wafuasi nyumbu, Hawa watu hovyohovyo
kinachokupa jeuri ya kuandika hivi ni hizo tafiti uchwara. Ila usisahau goodluck jonathan tafiti zilimpa 70%
mbowe kasema walifanya utafiti na kujiridhisha ushindi wa lowasa kabla ya kumchukua. Utafiti huo ulifanywa na nani, na matokeo ya utafiti wenyewe hakuna anayejua mbali ya lowasa na mbowe mwenyewe.
Never ever!
Sina imani naye hata kidogo, ndiyo maana nikasema hata hicho anachosema walifanya utafiti kabla ya kumchukua lowasa ameshindwa kukitoa wanachama tukione. Salama ya chadema ni huyu na kamati kuu kujiweka pembeni baada ya fisadi lao kupigwa chini 25/10.Hivi bado unaamini kauli za Mbowe?
Mbowe ni msanii na mfanyabiashara wa kisiasa.
Mbowe ananufaika katika biashara ya kisiasa kwa kutumia ujinga na upumbavu wa wanaojiita wanaCHADEMA na pia baadhi ya wananchi wengine.
He's making money!
Makengeza tena?!Ujinga na ulofa wa makengeza.
Una maana gani?Kura za kariakoo jana zimeongea