Kuhusuala la Dr. Ulimboka wana JF changanueni habari hii. Suala la kutenguliwa Ubunge wa Lema wa Arusha Mjini kiutata umefanywa na Jaji mfawidhi wa Mkoa wa Rukwa na mhusika mkuu wa utekaji na kupigwa vibaya kwa Dr.Ulimboka inasemekana anatoka Ofisi ya Waziri Mkuu. Hapa tunapata picha gani? Tutafakari na tuchukue haTUA.