Nani alaumiwe Kagera war?

Basi Nenda

JF-Expert Member
Jul 29, 2017
20,166
45,872
Habari zenu wakuu,kama heading ilivo hapo juu,ni swali pana kidogo juu ya nani abebe lawama za vita hii kwa sababu nimejalibu kupitia pitia mitandaoni naona wengine wanadai amin alivamia tz kama kulipiza kisasi kutokana na uvamizi uliofanywa uganda na kina museveni na wenzake(supported by mwalimu) ,na hata wakati wa vita hii inadaiwa amin alituma ujumbe mara kadhaa kwa nyerere akiwa na lengo la kusitisha vita hivi lakini nyerere aligoma je hapa nani alaumiwe kwa kuanzisha vita hivi ? NB: tukichukulia kua uvamizi wa amin ulikua ni self defence

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hapa ndo tunapopoteza malengo,ukishalaumu hakuna faida,lawama si mzigo,tumeona vita cuba,msumbiji,iraq,libya,yugoslavia nk
cha msingi nini tumepata km faida na hasara na tunafanyaje kupunguza hasara km vita itatokea......
maana ndo mana kuna majeshi duniani na kuna siraha.
hasara kubwa ya vita ni uchumi kudorola na vifo,marafiki na maadui kuongezeka na kupungua
faida ni kujipima nguvu na uwezo wa ki nchi kimapigano,dunia kujua misimamo yetu kidiplomasia na kisiasa,kupata washirika wa kijeshi na kimaendeleo

NB vita ni fursa ya kujipima na kujipanga.......
 
hapa ndo tunapopoteza malengo,ukishalaumu hakuna faida,lawama si mzigo,tumeona vita cuba,msumbiji,iraq,libya,yugoslavia nk
cha msingi nini tumepata km faida na hasara na tunafanyaje kupunguza hasara km vita itatokea......
maana ndo mana kuna majeshi duniani na kuna siraha.
hasara kubwa ya vita ni uchumi kudorola na vifo,marafiki na maadui kuongezeka na kupungua
faida ni kujipima nguvu na uwezo wa ki nchi kimapigano,dunia kujua misimamo yetu kidiplomasia na kisiasa,kupata washirika wa kijeshi na kimaendeleo

NB vita ni fursa ya kujipima na kujipanga.......
Nimekuelewa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom