NICOLAS ELEUTER
New Member
- Jun 12, 2012
- 1
- 0
Inavyosemekana wanaume wengi hususani tunaokaribia umri wa kuoa tunakuwa na kipaumbele cha mtoto wa kiume*
hali suala la mwendelezo wa vizazi katika ulimwengu unamhusisha mwanamke moja kwa moja,
,,,,,,,,,,sijajua hili limekaaje kwa nyie wengine!!!!!!
hali suala la mwendelezo wa vizazi katika ulimwengu unamhusisha mwanamke moja kwa moja,
,,,,,,,,,,sijajua hili limekaaje kwa nyie wengine!!!!!!