kelvnjohn
Member
- Dec 12, 2018
- 34
- 17
Aisee wakubwa zangu natafuta mdhamini au mtu mwenye kazi yoyote maana sina mkopo halafu ada ni kubwa kiasi hata nikiacha chuo hiyo ada sitoipata. Nachukua Bachelor in shipping and logistic management pale Dar es salaam maritime institute(DMI) na nmesoma serikalini since naanza.