Namuwaza sana, nifanyaje?

Namuwaza sana, nifanyaje?

SPACE CADET

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2022
Posts
2,280
Reaction score
3,562
Habarini wanangu wa JF, ni muda sasa sijapost thread.

Iko hivi nimemaliza form 6 mwaka jana mwezi wa 5 katika shule fulani jijini mbeya ilikuwa co-education (boarding).

Sababu ya kuleta kisa hiki ni kuwa personally mimi ni domo zege na hii imechangiwa na puchu pamoja na kusoma single school o-level sasa basi wakati tunakaribia kuua 6 niliamua niface my fear nikaanza kuchangamka kidogo kwa madenti kwa kufuata ushauri wa (jamaangu mmoja) mtu wa pisi.

Katika harakati hizo nikaopoa denti mmoja wa arts mimi nilikuwa science alikuwa mzuri kweli kwa macho yangu lakini ila tulikuwa tunaoneana aibu sana sema tulisukumana hivyohivyo

Sasa kumbe kwenye harakati za hapa na pale nikasikia tetesi kuwa demu flani wa masomo ya biashara alikuwa ananikubali nikasema mmmh hapa vipi kudadisi zaidi nikamjua ni nani kusema ukweli nilikuwa namkubaligi sababu ya (urefu+shepu+rangi)

Ila nikaamua kumpotezea nikaamua kubaki na huyu mwingine .

Cha ajabu baada ya kumaliza 6 nilikuwa nawaaga wanangu fresh na huyu chick wangu wa arts fresh ila huyu mwingine nilitaka kumpotezea ila akalazimisha nimuage hivyo nikafake kidogo si mnajua tena sasa kwanzia alivyoniaga mpaka leo namuwazaga tu sielewi nn shida?

Sio chaguo langu ila namuwaza sana, mawasiliano nao baada ya kumaliza hakuna kwa wote hivyo ilikuwa kama kupunguzana ugumu tu kwa muda mfupi.

Sasa wanangu shida yangu ni kuwa kwanzia nimalize 6 mpaka leo yule demu niliyempotezeaga NAMUWAZA SANAA wanangu khaa, yaani unakuta najishughulisha na mihangaiko yangu ila haipiti siku sijamuwaza. Yaaani nasikia kama moyo unachezacheza yaani ni kero tu wanangu.

Naombeni kama kuna mtu ashawahi pata scenario kama hii anieleze jinsi ya kuikimbia maana inanitesa sana nilimpotezeaga sana ila namuwaza balaaa.

DeepPond Shimba ya Buyenze mpwayungu village

Naombeni mawazo yenu pia

JamiiForums-544456600.gif
 
Habarini wanangu wa jf ni muda sasa. Sijapost thread

Iko hivi nimemaliza form 6 mwaka jana mwezi wa 5 katika shule flani jijini mbeya ilikuwa co-education(boarding)


View attachment 2488261Kisichokufaa leo kitakufaa kesho,
Kwa wakati ule umuhimu wake haukuonekana leo hi ndo unauona?
Any way tafuta namba yake la sivyo location yake,
Uwe jasiri kuongea bila mawaa.
 
Habarini wanangu wa jf ni muda sasa. Sijapost thread

Iko hivi nimemaliza form 6 mwaka jana mwezi wa 5 katika shule flani jijini mbeya ilikuwa co-education(boarding)

Sababu ya kuleta kisa hiki ni kuwa personally mimi ni domo zege na hii imechangiwa na puchu pamoja na kusoma single school o-level sasa basi wakati tunakaribia kuua 6 niliamua niface my fear nikaanza kuchangamka kidogo kwa madenti kwa kufuata ushauri wa (jamaangu mmoja) mtu wa pisi

Katika harakati hizo nikaopoa denti mmoja wa arts mimi nilikuwa science alikuwa mzuri kweli kwa macho yangu lakini ila tulikuwa tunaoneana aibu sana sema tulisukumana hivyohivyo

Sasa kumbe kwenye harakati za hapa na pale nikasikia tetesi kuwa demu flani wa masomo ya biashara alikuwa ananikubali nikasema mmmh hapa vipi kudadisi zaidi nikamjua ni nani kusema ukweli nilikuwa namkubaligi sababu ya (urefu+shepu+rangi)

Ila nikaamua kumpotezea nikaamua kubaki na huyu mwingine .

Cha ajabu baada ya kumaliza 6 nilikuwa nawaaga wanangu fresh na huyu chick wangu wa arts fresh ila huyu mwingine nilitaka kumpotezea ila akalazimisha nimuage hivyo nikafake kidogo si mnajua tena sasa kwanzia alivyoniaga mpaka leo namuwazaga tu sielewi nn shida sio chaguo langu ila namuwaza sana mawasiliano nao baada ya kumaliza hakuna kwa wote hivyo ilikuwa kama kupunguzana ugumu tu kwa muda mfupi

Sasa wanangu shida yangu ni kuwa kwanzia nimalize 6 mpaka leo yule demu niliyempotezeaga NAMUWAZA SANAA wanangu khaa yaani unakuta najishughulisha na mihangaiko yangu ila haipiti siku sijamuwaza yaaani nasikia kama moyo unachezacheza yaani ni kero tu wanangu

Naombeni kama kuna mtu ashawahi pata scenario kama hii anieleze jinsi ya kuikimbia maana inanitesa sana nilimpotezeaga sana ila namuwaza balaaa

DeepPond Shimba ya Buyenze mpwayungu village

Naombeni mawazo yenu pia

View attachment 2488261
Zama kwenye group la darasa lenu chambua namba au omba namba kwa wenzie waliokua wanasoma biashara na yeye then anza kudondoka mistari
 
Hahaaaa, JF bwana. Tupo na watoto wetu humu ndio maana sasa hoja za humu ni za kitoto, zimejaa ushabiki, kashfa, ujuaji na matusi juu. Kuna mmoja alinitukana na akaja inbox na kunitumia namba yake kwa jeuri eti tutafutane ili tuoneshane umwamba. Hahaaaaa, dogo nilipomtafuta akaanza kulialia. Anatuchumba biti amepata kazi Sudan kumbe yupo Rombo Gaganiga 😜😄🙂😀😁🤣
 
Habarini wanangu wa jf ni muda sasa. Sijapost thread

Iko hivi nimemaliza form 6 mwaka jana mwezi wa 5 katika shule flani jijini mbeya ilikuwa co-education(boarding)

Sababu ya kuleta kisa hiki ni kuwa personally mimi ni domo zege na hii imechangiwa na puchu pamoja na kusoma single school o-level sasa basi wakati tunakaribia kuua 6 niliamua niface my fear nikaanza kuchangamka kidogo kwa madenti kwa kufuata ushauri wa (jamaangu mmoja) mtu wa pisi

Katika harakati hizo nikaopoa denti mmoja wa arts mimi nilikuwa science alikuwa mzuri kweli kwa macho yangu lakini ila tulikuwa tunaoneana aibu sana sema tulisukumana hivyohivyo

Sasa kumbe kwenye harakati za hapa na pale nikasikia tetesi kuwa demu flani wa masomo ya biashara alikuwa ananikubali nikasema mmmh hapa vipi kudadisi zaidi nikamjua ni nani kusema ukweli nilikuwa namkubaligi sababu ya (urefu+shepu+rangi)

Ila nikaamua kumpotezea nikaamua kubaki na huyu mwingine .

Cha ajabu baada ya kumaliza 6 nilikuwa nawaaga wanangu fresh na huyu chick wangu wa arts fresh ila huyu mwingine nilitaka kumpotezea ila akalazimisha nimuage hivyo nikafake kidogo si mnajua tena sasa kwanzia alivyoniaga mpaka leo namuwazaga tu sielewi nn shida sio chaguo langu ila namuwaza sana mawasiliano nao baada ya kumaliza hakuna kwa wote hivyo ilikuwa kama kupunguzana ugumu tu kwa muda mfupi

Sasa wanangu shida yangu ni kuwa kwanzia nimalize 6 mpaka leo yule demu niliyempotezeaga NAMUWAZA SANAA wanangu khaa yaani unakuta najishughulisha na mihangaiko yangu ila haipiti siku sijamuwaza yaaani nasikia kama moyo unachezacheza yaani ni kero tu wanangu

Naombeni kama kuna mtu ashawahi pata scenario kama hii anieleze jinsi ya kuikimbia maana inanitesa sana nilimpotezeaga sana ila namuwaza balaaa

DeepPond Shimba ya Buyenze mpwayungu village

Naombeni mawazo yenu pia

View attachment 2488261
😂😂😂😂
 
Habarini wanangu wa jf ni muda sasa. Sijapost thread

Iko hivi nimemaliza form 6 mwaka jana mwezi wa 5 katika shule flani jijini mbeya ilikuwa co-education(boarding)

Sababu ya kuleta kisa hiki ni kuwa personally mimi ni domo zege na hii imechangiwa na puchu pamoja na kusoma single school o-level sasa basi wakati tunakaribia kuua 6 niliamua niface my fear nikaanza kuchangamka kidogo kwa madenti kwa kufuata ushauri wa (jamaangu mmoja) mtu wa pisi

Katika harakati hizo nikaopoa denti mmoja wa arts mimi nilikuwa science alikuwa mzuri kweli kwa macho yangu lakini ila tulikuwa tunaoneana aibu sana sema tulisukumana hivyohivyo

Sasa kumbe kwenye harakati za hapa na pale nikasikia tetesi kuwa demu flani wa masomo ya biashara alikuwa ananikubali nikasema mmmh hapa vipi kudadisi zaidi nikamjua ni nani kusema ukweli nilikuwa namkubaligi sababu ya (urefu+shepu+rangi)

Ila nikaamua kumpotezea nikaamua kubaki na huyu mwingine .

Cha ajabu baada ya kumaliza 6 nilikuwa nawaaga wanangu fresh na huyu chick wangu wa arts fresh ila huyu mwingine nilitaka kumpotezea ila akalazimisha nimuage hivyo nikafake kidogo si mnajua tena sasa kwanzia alivyoniaga mpaka leo namuwazaga tu sielewi nn shida sio chaguo langu ila namuwaza sana mawasiliano nao baada ya kumaliza hakuna kwa wote hivyo ilikuwa kama kupunguzana ugumu tu kwa muda mfupi

Sasa wanangu shida yangu ni kuwa kwanzia nimalize 6 mpaka leo yule demu niliyempotezeaga NAMUWAZA SANAA wanangu khaa yaani unakuta najishughulisha na mihangaiko yangu ila haipiti siku sijamuwaza yaaani nasikia kama moyo unachezacheza yaani ni kero tu wanangu

Naombeni kama kuna mtu ashawahi pata scenario kama hii anieleze jinsi ya kuikimbia maana inanitesa sana nilimpotezeaga sana ila namuwaza balaaa

DeepPond Shimba ya Buyenze mpwayungu village

Naombeni mawazo yenu pia

View attachment 2488261
mzabzab
 
Habarini wanangu wa jf ni muda sasa. Sijapost thread

Iko hivi nimemaliza form 6 mwaka jana mwezi wa 5 katika shule flani jijini mbeya ilikuwa co-education(boarding)

Sababu ya kuleta kisa hiki ni kuwa personally mimi ni domo zege na hii imechangiwa na puchu pamoja na kusoma single school o-level sasa basi wakati tunakaribia kuua 6 niliamua niface my fear nikaanza kuchangamka kidogo kwa madenti kwa kufuata ushauri wa (jamaangu mmoja) mtu wa pisi

Katika harakati hizo nikaopoa denti mmoja wa arts mimi nilikuwa science alikuwa mzuri kweli kwa macho yangu lakini ila tulikuwa tunaoneana aibu sana sema tulisukumana hivyohivyo

Sasa kumbe kwenye harakati za hapa na pale nikasikia tetesi kuwa demu flani wa masomo ya biashara alikuwa ananikubali nikasema mmmh hapa vipi kudadisi zaidi nikamjua ni nani kusema ukweli nilikuwa namkubaligi sababu ya (urefu+shepu+rangi)

Ila nikaamua kumpotezea nikaamua kubaki na huyu mwingine .

Cha ajabu baada ya kumaliza 6 nilikuwa nawaaga wanangu fresh na huyu chick wangu wa arts fresh ila huyu mwingine nilitaka kumpotezea ila akalazimisha nimuage hivyo nikafake kidogo si mnajua tena sasa kwanzia alivyoniaga mpaka leo namuwazaga tu sielewi nn shida sio chaguo langu ila namuwaza sana mawasiliano nao baada ya kumaliza hakuna kwa wote hivyo ilikuwa kama kupunguzana ugumu tu kwa muda mfupi

Sasa wanangu shida yangu ni kuwa kwanzia nimalize 6 mpaka leo yule demu niliyempotezeaga NAMUWAZA SANAA wanangu khaa yaani unakuta najishughulisha na mihangaiko yangu ila haipiti siku sijamuwaza yaaani nasikia kama moyo unachezacheza yaani ni kero tu wanangu

Naombeni kama kuna mtu ashawahi pata scenario kama hii anieleze jinsi ya kuikimbia maana inanitesa sana nilimpotezeaga sana ila namuwaza balaaa

DeepPond Shimba ya Buyenze mpwayungu village

Naombeni mawazo yenu pia

View attachment 2488261
Ulimpenda ila ukajarbu kubshana na hsia zako

Kwan hamna group la shule, umtafute?
 
Habarini wanangu wa jf ni muda sasa. Sijapost thread

Iko hivi nimemaliza form 6 mwaka jana mwezi wa 5 katika shule flani jijini mbeya ilikuwa co-education(boarding)

Sababu ya kuleta kisa hiki ni kuwa personally mimi ni domo zege na hii imechangiwa na puchu pamoja na kusoma single school o-level sasa basi wakati tunakaribia kuua 6 niliamua niface my fear nikaanza kuchangamka kidogo kwa madenti kwa kufuata ushauri wa (jamaangu mmoja) mtu wa pisi

Katika harakati hizo nikaopoa denti mmoja wa arts mimi nilikuwa science alikuwa mzuri kweli kwa macho yangu lakini ila tulikuwa tunaoneana aibu sana sema tulisukumana hivyohivyo

Sasa kumbe kwenye harakati za hapa na pale nikasikia tetesi kuwa demu flani wa masomo ya biashara alikuwa ananikubali nikasema mmmh hapa vipi kudadisi zaidi nikamjua ni nani kusema ukweli nilikuwa namkubaligi sababu ya (urefu+shepu+rangi)

Ila nikaamua kumpotezea nikaamua kubaki na huyu mwingine .

Cha ajabu baada ya kumaliza 6 nilikuwa nawaaga wanangu fresh na huyu chick wangu wa arts fresh ila huyu mwingine nilitaka kumpotezea ila akalazimisha nimuage hivyo nikafake kidogo si mnajua tena sasa kwanzia alivyoniaga mpaka leo namuwazaga tu sielewi nn shida sio chaguo langu ila namuwaza sana mawasiliano nao baada ya kumaliza hakuna kwa wote hivyo ilikuwa kama kupunguzana ugumu tu kwa muda mfupi

Sasa wanangu shida yangu ni kuwa kwanzia nimalize 6 mpaka leo yule demu niliyempotezeaga NAMUWAZA SANAA wanangu khaa yaani unakuta najishughulisha na mihangaiko yangu ila haipiti siku sijamuwaza yaaani nasikia kama moyo unachezacheza yaani ni kero tu wanangu

Naombeni kama kuna mtu ashawahi pata scenario kama hii anieleze jinsi ya kuikimbia maana inanitesa sana nilimpotezeaga sana ila namuwaza balaaa

DeepPond Shimba ya Buyenze mpwayungu village

Naombeni mawazo yenu pia

View attachment 2488261
Kuna wkt ukfka ktk maisha, kutokana na changamoto ulzoptia au unazoptia ktk mahusiano unaamua kukumbuka ni kna nan waliokuwa wanakukubal ili uweze kujiweka karbu uanzshe mahusiano nao

Kjana ulchezea bahat, sema hakjapita kpnd krefu, unaweza kumpata mkuu

Usisahau kutupa mrejesho
 
Kuna wkt ukfka ktk maisha, kutokana na changamoto ulzoptia au unazoptia ktk mahusiano unaamua kukumbuka ni kna nan waliokuwa wanakukubal ili uweze kujiweka karbu uanzshe mahusiano nao

Kjana ulchezea bahat, sema hakjapita kpnd krefu, unaweza kumpata mkuu

Usisahau kutupa mrejesho
Sipo kwenye mahusiano mkuu
 
Back
Top Bottom