Habari Jamiiforum?
Nisaidieni labda mimi ni mgeni wa haya mambo?
Nilikua nikitafuta mahusiano lakini mahusiano yatakayokua na afya sasa nimepata demu lakini mimi namuwaza sana mpaka nalia sjui nifanyeje? Nachoka kabisa.
Pole mahusiano ndivyo huanza si kwako tu wapo wengi ila tumia muda mwingi kwenye shughuri zako na uwe bize sana nazo inasidia mpenzi wako kuchukua nafasi ndogo kichwani
Habari Jamiiforum?
Nisaidieni labda mimi ni mgeni wa haya mambo?
Nilikua nikitafuta mahusiano lakini mahusiano yatakayokua na afya sasa nimepata demu lakini mimi namuwaza sana mpaka nalia sjui nifanyeje? Nachoka kabisa.
Pole mahusiano ndivyo huanza si kwako tu wapo wengi ila tumia muda mwingi kwenye shughuri zako na uwe bize sana nazo inasidia mpenzi wako kuchukua nafasi ndogo kichwani
Habari Jamiiforum?
Nisaidieni labda mimi ni mgeni wa haya mambo?
Nilikua nikitafuta mahusiano lakini mahusiano yatakayokua na afya sasa nimepata demu lakini mimi namuwaza sana mpaka nalia sjui nifanyeje? Nachoka kabisa.