Namuunga mkono Kigwangalla dhidi ya MO Dewji

Namuunga mkono Kigwangalla dhidi ya MO Dewji

Ule mkopo wa pikipiki ndio tatizo.

Kigwa ni mtu mzima sasa ameaminika kwa kupewa cheo cha juu, aache njaa hizi za aibu.

Ajiamini asihonge wajumbe. Kazi zake na kuwajibika kwake jimboni kumbebe asijidhalilishe kwa matajiri.

Bora angemkopa DAB.
 
Mh. Kigwangala kwenye siasa huwa simuelewi kabisa ila kwenye suala la Simba ana point kubwa sana, CEO wa simba si suala la gender wala experience kwenye soka maana sio CEO wa kwanza kwenye soka. Je, kwanini awe na vinasaba na moja kati ya mtu anayetaka kuinunua club ya wanachama?

Simba siyo NGO binafsi ya Mo ni taasisi ya kubwa ya mamilioni ya watu ambayo inahama kwenda kwenye corporate entinty nafasi kama ya CEO ambaye ni mtendaji mkuu wa club lazima itangazwe kwa absolute transparent maana interest ya mamilioni ya watu relay to her hatutaki mtu biased hasa tunaopoelekea kwenye mchakato wa mabadiliko.

Our future must be secured, siyo kwa sababu tunapata matokeo basi mambo yafanyike kienyeji tu bila weledi mkubwa, suala la kukopa kwa kila mpambanaji ni kawaida tu as longer analipa kwa wakati!

NB: Yajayo yanafurahisha, tuendele kupata matokeo lasivyo aaaah, Mo kwenye 20b anakuwaga Mwamedi.
 
Habari za asubuhi wakuu,

Ujue hawa waheshimiwa wanataka kutuona sisi kama watoto ila kwa kile nilichokiona nje ya mchezo ni sio hisa za mo kwa simba wala uwekezaji wake pale msimbazi bali tukae na kutambua kwamba hawa wote ni wana CCM na wanachokijalibu kukifanya hapa ni kututoa kwenye mawazo ya kampen maana wameshaona mgombea wao kila anakoenda anapigwa k.o kwahiyo wameona watuamishie upande wa pili ili kila mtu akili yake ikae upande huu na sio kwenye kampen tena ili waweke mambo yao sawa.

Hivyo tutumie akili kuwaza hii inaweza ikawa ni technical plan ya mataga baada ya kuona mkubwa havutii.
 
Ule mkopo wa pikipiki ndio tatizo.

Kigwa ni mtu mzima sasa ameaminika kwa kupewa cheo cha juu,aache njaa hizi za aibu.

Ajiamini asihonge wajumbe.Kazi zake na kuwajibika kwake jimboni kumbebe asijidhalilishe kwa matajiri.

Bora angemkopa DAB.
Nani alikuambia pikipiki alikua anaenda kuhonga? Unajuaje Kama pikipiki ilikua ni ahadi aliyoitoa kwa waananchi wake Ili kuwarahisishia kazi? Rushwa haitolewi kirahisi rahis hivyo Kama unavyodhani, hii ni awamu ya tano.

I STAND WITH HON. KIGWANGALA, ANA HOJA ZA MSINGI ZINAZOHITAJI MAJIBU YA KINA. MO AMEPANICK
 
Hizo hisia zako Wale wana personal issue zao, wala usiwaze hivyo kigwangala ana ujinga mwingi sana kumbuka issue ya docta mwaka
Mo huko Simba ni biashara na maslahi binafsi. Kigwangala huko kwenye siasa ni biashara na maslahi binafsi. Wamekorofishana baada ya mmoja kutaka mkopo atoe rushwa na mwenzake akamnyima. Watanzania tumieni akili zenu. Hawa watu wasiwapotezee muda wenu. Mimi mambo ya Simba na Yanga, ya ushabiki nyumbu nilishaacha zamani sana enzi zile za Taifa Kubwa vs Umoja wa mataifa. Niliacha kwa sababu niligundua tulikuwa tunachezea akili na kuwa fursa za watu wengine.
 
Ule mkopo wa pikipiki ndio tatizo.
Kigwa ni mtu mzima sasa ameaminika kwa kupewa cheo cha juu,aache njaa hizi za aibu.
Ajiamini asihonge wajumbe.Kazi zake na kuwajibika kwake jimboni kumbebe asijidhalilishe kwa matajiri.
Bora angemkopa DAB.
Sawa hilo la pikipiki, tuliache kwani ulikuwa ni mkopo, hoja ni je hayo aliyoongea kigwangala, majibu yake yakoje? Usikimbie hoja, ni mambo muhimu sana kuyafahamu. Tatizo lenu mtu akihoji kitu badala ya kujibu hoja zake, mnaanza kumshambulia mtoa hoja!!
 
Yananikela majibizano yao, Twitter imekuwa ya michambo ya kukopeshana bodaboda na matumizi ya 20blns.nmeamua kutoka
 
Watu wana ugomvi wao personal wewe unaleta mambo ya ushabiki. . Baki huko huko
Mh hamisi ni shabiki na mwanachama lialia wa simba ana haki ya kuhoji maendeleo ya club yake swala la ugomvi binafsi mo amekosa weledi kukopa siyo dhambi hajaomba msaada

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Ile issue ya.mo na Kigwangala haijaanza leo ilianza toka kipindi kile mo anatishia kujitoa simba aliposema anatumia pesa nyingi kuhudumia simba akamwuliza hizo pesa ni sehemu ya bilioni 20 au zake za mfukoni .
Kigwangala amehoji mambo ya msingi ila kwa ujinga walionao watu wengi wamemjadili zaidi yeye binafsi ikiwa pamoja na mo kukwepa mjadala na kuingiza personal issue.
Mo anapaswa kutoa majibu kwa wanasimba na sio kwenda kutoa majibu kwa wasafi fm ambao tunajua watangazaji wake wengi ni yanga wa kutupwa.
Kuna madudu mengi kuhusiana na uwekezaji wanmo ila madudu hayo hayaonekani kwa sababu ya mafanikio tunayoyapata uwanjani.
Ajatoa bilioni 20 kwa sababu mchakato haujakamilika lakini ameshakuwa na madaraka makubwa kabla mchakato haujakamilika.
Kuna bidhaa zake ambazo hazipo kwenye mkataba na simba lakini amekuwa akizitangaza kupitia simba mfano mo protector sasa ukiacha zile pikipiki zake sasa kama anamleta CEO ambaye ni msaidizi wake binafsi ataweza vp kutenganisha maslahi ya simba na ya kampuni anazoongoza mo.
Kuna kanga zilikuwa zinauzwa simba day hazijulikani nani ametengeneza na pesa zinaenda kwa nani ukichukulia na yeye anamiliki viwanda vya nguo.
Mpaka sasa simba haijaweza kujitegemea leo mo akitoka simba itasimama vipi pamoja na mishahara mikubwa ya wachezaji.
 
Back
Top Bottom