Ekumbi
Member
- Oct 23, 2021
- 26
- 40
Nikisema bado umefungwa na vyeti nitaomba tu unisamehe,
Bro maisha hayana kusubili ajora rasmi inawezekana ukawa unapoteza muda kutafuta kazi
Kaa tafakari tafuta ajira mbadala vyeti weka pembeni kwanza utakuja kunishukuru baadae
Usiogope maisha , chukua chombo weka ndani, Kama kakuvumilia kwa wakati huu hata mkiwa pamoja atakuvumilia tu
Usiogope maisha. Cha msingi tafuta ajira mbadala I mean jiajiri.
Afu nikwambie kitu ukioa Kuna matumizi mengi yanapungua
Mfano ilikuwa mwende guest tsh 15k na kuendelea zaidi ya Mara 3 na kuendelea kwa mwezi lakini sasa show zote mjengoni , hiyo hela unafanyia matumizi mengine
Bro maisha hayana kusubili ajora rasmi inawezekana ukawa unapoteza muda kutafuta kazi
Kaa tafakari tafuta ajira mbadala vyeti weka pembeni kwanza utakuja kunishukuru baadae
Usiogope maisha , chukua chombo weka ndani, Kama kakuvumilia kwa wakati huu hata mkiwa pamoja atakuvumilia tu
Usiogope maisha. Cha msingi tafuta ajira mbadala I mean jiajiri.
Afu nikwambie kitu ukioa Kuna matumizi mengi yanapungua
Mfano ilikuwa mwende guest tsh 15k na kuendelea zaidi ya Mara 3 na kuendelea kwa mwezi lakini sasa show zote mjengoni , hiyo hela unafanyia matumizi mengine