GE2025 Namuona Mpina anaenda kushinda kiti cha Urais Oktoba 29

GE2025 Namuona Mpina anaenda kushinda kiti cha Urais Oktoba 29

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Adharusi

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2012
Posts
14,493
Reaction score
7,417
Kwa mwenendo wa uchaguzi wa mwaka huu mwaka huu namuona MPINA anashinda URAIS octoba 29,2025 nawaona wana CCM wengi watakwenda kumpa KURA MPINA kuwa RAIS ,

Nb:CCM yangu ina nafasi ya kujirekibisha ,vinginevyo Kiti cha Urais kinaweza kwenda upinzani kwa mara ya kwanza SITE wananchi wana malalamiko mengi,tunachopaswa kujua kundi la kina RA alipigi kura ,MREMA alitokosa kosa,Dr Slaa alitukosa kosa,Lowasa alitokosa kosa ,,,,sizani kama MPINA atafanya kosa ilo tena ...
UTAKI UNAACHA,TUKUTANE OCTOBA
 
Angechukua form ya ubunge tu. Wana kisesa wangempa
 
Yes, kama kungekua na reforms na ACT isingekua Tawi la CCM vile vile kusingekua na mtu anaitwa LISSU! vinginevyo aende kuchunga ngo'mbe na mbuzi Tu anajipotezea mda.
 
Labda!japo sidhani kama ni lengo la dola Hilo litokee!!

Nadhani Mpina ni kete inayochezwa kama Membe 2020!
 
Angechukua form ya ubunge tu. Wana kisesa wangempa
kwa sababu amepanua mawanda wewe kama una kitambulisho kapige kura yako kwa MPINA utasaidia kuleta ushindi wa MPINA
 
  • Thanks
Reactions: x x
CCM ni chama dola.
Mama yenu bila CCM hawezi toboa. Mfumo ndo umemtaka.
CCM ni lidude ambalo bado nguvu zake hazijaexpire na nimejipenyeza hadi kwenye moyo wa nchi. Mwanadamu huwezi shindana na hilo dude, ni pale tu Mungu atakapoamua kulikomesha hilo dude kama Nebuchadnezzar na Alexander the great Mungu alipoamua kuwakomesha.
Kidumu chama cha mapinduzi
 
Yes, kama kungekua na reforms na ACT isingekua Tawi la CCM vile vile kusingekua na mtu anaitwa LISSU! vinginevyo aende kuchunga ngo'mbe na mbuzi Tu anajipotezea mda.
We anza binafsi kuwa una mpa kura MPINA ,Baada ya hapo jirani zako...Mabadiliko yatakuja yenyewe huyu MPINA ni kama CHAKWERA wa MALAWI
 
Kwa mwenendo wa uchaguzi wa mwaka huu mwaka huu namuona MPINA anashinda URAIS octoba 29,2025 nawaona wana CCM wengi watakwenda kumpa KURA MPINA kuwa RAIS ,

Nb:CCM yangu ina nafasi ya kujirekibisha ,vinginevyo Kiti cha Urais kinaweza kwenda upinzani kwa mara ya kwanza SITE wananchi wana malalamiko mengi,tunachopaswa kujua kundi la kina RA alipigi kura ,MREMA alitokosa kosa,Dr Slaa alitukosa kosa,Lowasa alitokosa kosa ,,,,sizani kama MPINA atafanya kosa ilo tena ...
Hata akishinda, Zito hawezi ruhusu hilo litokee
 
Dude hili sera zake tangu uhuru ni zile zile; barabara, maji, umeme, shule, Hospitali😆😆😆
Tanzania imebarikiwa natural resources kibao lakini dude hili na serikali yake limeshindwa kutumia hizo resources kuwapa watanzania maisha mazuri.
Kuna maeneo vyanzo vya maji ni vingi lakini utakuta hakuna maji😆😆😆
Tuna vyanzo vingi vya kuzalisha umeme lakini hatuna umeme wa uhakika😆😆😆
Nchi ambayo watu wanatumia pesa kupata uongozi haiwezi kuwa na maendeleo zaidi ya kuzalisha chawa
 
Back
Top Bottom