Mr mutuu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2023
- 2,041
- 10,110
Kiukweli MAYELE ni kama hajafikia matarajio ya Pyramids. Walipomsajili walikua na mategemeo makubwa sana kwake lakini ameishia kumbwela bwela tu, na ukizingatia washatoka kwenye makundi CAF CL naona wakitafuta striker mpya msimu ujao au unaofata wakiachana na Mayele
Na kwa jinsi wakongoman wanavyopenda Bata la bongo namuona akirudi bongo, kwa Yanga ashanyea Kambi Kule sidhani kama anaweza rejea na kwa timu hizi za kkoo zinavyopenda kukomoana naona Simba wakinasa Saini ya Mayele ili kuwatuliza mashabiki baada ya ujinga wa mafanikio sijui ya kibegi, Whatsapp channel na kupanda mlima kufeli
Simba ili kuwapooza mashabiki naona watamchukua na feitoto, maana mashabiki Wana hasira umbumbumbu unawatoka sa ivi sio kipindi Cha nyuma hapo eti Ahmed ally akisema timu za ufaransa zinamgombania onana wanachekelea tu
Na kwa jinsi wakongoman wanavyopenda Bata la bongo namuona akirudi bongo, kwa Yanga ashanyea Kambi Kule sidhani kama anaweza rejea na kwa timu hizi za kkoo zinavyopenda kukomoana naona Simba wakinasa Saini ya Mayele ili kuwatuliza mashabiki baada ya ujinga wa mafanikio sijui ya kibegi, Whatsapp channel na kupanda mlima kufeli
Simba ili kuwapooza mashabiki naona watamchukua na feitoto, maana mashabiki Wana hasira umbumbumbu unawatoka sa ivi sio kipindi Cha nyuma hapo eti Ahmed ally akisema timu za ufaransa zinamgombania onana wanachekelea tu