Hajaolewa ndo kaanza kazi na mm pia ndo naanza kazi karoho kananidunda ni mzuri mpaka mwenyewe natetemeka[emoji7] [emoji7]Kama hajaolewa niunganishe naye na mie nimfaidi mazalia asilia...
Daah! Natamani nipasue keyboard nitokee hapo ulipo ili tuyajenge unifanikishie nimnase... Anaweza akawa na umri gani kwa kukadiria?Hajaolewa ndo kaanza kazi na mm pia ndo naanza kazi karoho kananidunda ni mzuri mpaka mwenyewe natetemeka[emoji7] [emoji7]
Approximately not above 20-22 sometimes I feel like to blink her[emoji7] [emoji4]Daah! Natamani nipasue keyboard nitokee hapo ulipo ili tuyajenge unifanikishie nimnase... Anaweza akawa na umri gani kwa kukadiria?
Acha kukariri weweKuna watu waongo
Mashirika makubwa hayachukui aliyetoka juzi kujifunza
Daah! Kuanzia sasa wewe ni mtu wangu wa muhimu... Endelea kupiga piga kazi huku ukimzoea badaye utanileta steering kwenye picha...Approximately not above 20-22 sometimes I feel like to blink her[emoji7] [emoji4]
Umenena vyema.Hili sio la kuomba ushauri labda kama unatupa taarifa tuu ya kuchekwa na hao malimbukeni,.ni hivi kama unafanya kutoka moyoni hupritend na unafurahia kazi yako sidhani kama hao wanaokucheka watakuumiza kichwa,.
Mkuu kwenye hii dunia huwezi kumfurahisha kila mtu kumbuka hata wewe kuna muda unakosa furaha kiasi kwamba kuna wakati unashindwa kutengeneza furaha yako mwenyewe.Hbr wadau baada ya kupata mafunzo ya driving pale Mabibo Nina wiki nmebahatika kazi namuendesha Dada mmoja Wa shirika Fulani la Wajerumani.
Tatizo vijana wenzangu wakiniona nawahi kushuka namfungulia mlango yule Dada ashuke jamaa wanamaindi.Yule Dada kweli pia hupenda kufungua mlango mwenyewe Bali nimemkataza nikamwambia nitakuwa namfungulia.
Akishuka nambebea begi lake mpaka ofisini wakati Wa kutoka nambebea mpaka kwenye gari.Jamaa wanachukia eti najishusha.
Chuoni nimefundishwa kumkarimu abiria wangu ambae ni bosi kiumri nimemzidi kidogo japo kimo tunalingana namnyenyekea jamani nimesota sana mtaani.
Jamaa mpaka wananitenga sijui nifanyaje yule Dada nafaidi vingi Kwa ukarimu wangu.Keep change za kutosha.Nishaurini kitu.
Boss,CEO wa miaka 22 [emoji848][emoji848]Daah! Kuanzia sasa wewe ni mtu wangu wa muhimu... Endelea kupiga piga kazi huku ukimzoea badaye utanileta steering kwenye picha...
Hbr wadau baada ya kupata mafunzo ya driving pale Mabibo Nina wiki nmebahatika kazi namuendesha Dada mmoja Wa shirika Fulani la Wajerumani.
Tatizo vijana wenzangu wakiniona nawahi kushuka namfungulia mlango yule Dada ashuke jamaa wanamaindi.Yule Dada kweli pia hupenda kufungua mlango mwenyewe Bali nimemkataza nikamwambia nitakuwa namfungulia.
Akishuka nambebea begi lake mpaka ofisini wakati Wa kutoka nambebea mpaka kwenye gari.Jamaa wanachukia eti najishusha.
Chuoni nimefundishwa kumkarimu abiria wangu ambae ni bosi kiumri nimemzidi kidogo japo kimo tunalingana namnyenyekea jamani nimesota sana mtaani.
Jamaa mpaka wananitenga sijui nifanyaje yule Dada nafaidi vingi Kwa ukarimu wangu.Keep change za kutosha.Nishaurini kitu.
Komaaa achana na ngendembwe za majirani izo zitakutoa kwenye reli mkuuHbr wadau baada ya kupata mafunzo ya driving pale Mabibo Nina wiki nmebahatika kazi namuendesha Dada mmoja Wa shirika Fulani la Wajerumani.
Tatizo vijana wenzangu wakiniona nawahi kushuka namfungulia mlango yule Dada ashuke jamaa wanamaindi.Yule Dada kweli pia hupenda kufungua mlango mwenyewe Bali nimemkataza nikamwambia nitakuwa namfungulia.
Akishuka nambebea begi lake mpaka ofisini wakati Wa kutoka nambebea mpaka kwenye gari.Jamaa wanachukia eti najishusha.
Chuoni nimefundishwa kumkarimu abiria wangu ambae ni bosi kiumri nimemzidi kidogo japo kimo tunalingana namnyenyekea jamani nimesota sana mtaani.
Jamaa mpaka wananitenga sijui nifanyaje yule Dada nafaidi vingi Kwa ukarimu wangu.Keep change za kutosha.Nishaurini kitu.
Fanya kazi yko kwa ufasaa... Watu hawakosi cha kusemaHbr wadau baada ya kupata mafunzo ya driving pale Mabibo Nina wiki nmebahatika kazi namuendesha Dada mmoja Wa shirika Fulani la Wajerumani.
Tatizo vijana wenzangu wakiniona nawahi kushuka namfungulia mlango yule Dada ashuke jamaa wanamaindi.Yule Dada kweli pia hupenda kufungua mlango mwenyewe Bali nimemkataza nikamwambia nitakuwa namfungulia.
Akishuka nambebea begi lake mpaka ofisini wakati Wa kutoka nambebea mpaka kwenye gari.Jamaa wanachukia eti najishusha.
Chuoni nimefundishwa kumkarimu abiria wangu ambae ni bosi kiumri nimemzidi kidogo japo kimo tunalingana namnyenyekea jamani nimesota sana mtaani.
Jamaa mpaka wananitenga sijui nifanyaje yule Dada nafaidi vingi Kwa ukarimu wangu.Keep change za kutosha.Nishaurini kitu.
Hueleweki we ni ke au meYule Dada namnunulia mpaka shampoo naenda sokoni wala sioni tabu naifurahia kazi yangu nimeweka manukato kwenye gari akasema "wee kaka hii perfume umenunua wapi". Akanituma nimnunulie kaipeleka kwake[emoji4]