mtoto afundishwe jinsi kujimix na kuishi na watu, mambo mengine atajifunza kupitia watu wanaomzungukaKila mtu na mtazamo wakeView attachment 1631821
Ila kwa akili ya utoto hawezi kugusa jembe na tractor ataangalia vile vyepesi kushika simu,redioHiyo umeamua we yeye Aweje!
Ili kujua yeye Atakuaje, hebu fanya hivi;
Muwekee vichezea vya aina sina mfano
Jembe, bunduki, tractor, simu,....
Ukiona kila siku anachezea kimojawapo kati ya hivyo, muendeleze ktk hicho kwa kumsaidia!
Akichezea bunduki atamuendelezaje?Hiyo umeamua we yeye Aweje!
Ili kujua yeye Atakuaje, hebu fanya hivi;
Muwekee vichezea vya aina sina mfano
Jembe, bunduki, tractor, simu,....
Ukiona kila siku anachezea kimojawapo kati ya hivyo, muendeleze ktk hicho kwa kumsaidia!
Atakuja kuwa mkali sana zaidi atatumia akili yake ya tangu utotone tofauti na waliopita vetaKila mtu na mtazamo wakeView attachment 1631821
Huna jinsi ya kumzuia ndiocho kilicho RohoniAkichezea bunduki atamuendelezaje?
Mawazo mgandoIli awe fundi simu.....??
What if akikua mkubwa pakatokea njia mbadala..??
Mkuu, ebu mpeleke mwanao shule, kwanza namuona kabisa kijana anapenda ajekua mwalimu huyo...😂😂