Namtafuta X wangu

Namtafuta X wangu

Acha ubaguzi lol...
Humuoni bashe?
Unajuwa maana ya uraia?
Jifunze kutofautisha uasili wa MTU na uraia wake.
Tuko watanzania wengi wenye asili tofauti na watanzania asilia.
Tumezaliwa Tanzania wazazi wetu pia na babu zetu walizaliwa nchini japo kwa nje twaonekana rangi zetu sio sawa na wale waasili kabisa.
Acha ubaguzi
Na wewe ni mhanga haya pole maana naona nimetupa jiwe gizani,
 
Kama namjua vileeeee...
Kwao temeke?
Anapendelea kusafiri na magari makubwa nje ya nchi like zambia, etc?
Jina lake laanzia na Abdul?

Hata kama anatafutwa na wasiojulikana we utasema tu unamjua

[emoji601][emoji379][emoji379]
 
Ni kitambo hatujawasiliana kutokana na mimi kwenda kusoma nje ya nchi

Nimemtafuta kwa social network lkn hayuko active mana last status ni ya miezi tisa nyuma

Kwa yeyote anayemfahamu huyu m2 ani pm
3abb81e63a304f7f8e488a3c77abb82d.jpg

5a70b9d6991d975d30236822bf9cd168.jpg
Kuna clip moja ya wapiganaji wa alshabaab ngoja niicheki vzr kuna mmoja amefanana nae
 
Ni kitambo hatujawasiliana kutokana na mimi kwenda kusoma nje ya nchi

Nimemtafuta kwa social network lkn hayuko active mana last status ni ya miezi tisa nyuma

Kwa yeyote anayemfahamu huyu m2 ani pm
3abb81e63a304f7f8e488a3c77abb82d.jpg

5a70b9d6991d975d30236822bf9cd168.jpg
Embu tuma na wewe pic yako ya sasa itakuwa rahisi tukionana nae tumuonyeshe unavyofanania kwa sasa.

Inaonekana alikuwa anakusugua vizuri yaan kuranda kote nje ya nchi bado umerudi unamtafuta yeye tu
 
umesha wahi kurogwa ? Kile kirogo cha kukufanya umchukie handsome wako unipende Dududaya kama mimi?

Eeeeh huna lolote

Kwa maneno hayo.. umelosti nini sikukuu hii.. yaani hauna jipya eeeeh
 
Hapana temeke cijafika sina jamaa huko tulikuwa tunakutana maeneo mengine na namba yake ilokuwa inaisha na ***6888836 haipo hewani
Umejaribu kuwauliza watu wasijulikana? [emoji15] [emoji134] [emoji56] [emoji61]
 
Tafuta pesa kijana mwenzio kashapata mwenye pesa
 
Utakuwa umeliwa 0713. Hao watu walivyokosa huruma na binadamu wenzao ww unapata wapi nguvu ya kuwatafuta. Au unataka kuwa mke wa al-shabab?
 
Ni kitambo hatujawasiliana kutokana na mimi kwenda kusoma nje ya nchi

Nimemtafuta kwa social network lkn hayuko active mana last status ni ya miezi tisa nyuma

Kwa yeyote anayemfahamu huyu m2 ani pm
3abb81e63a304f7f8e488a3c77abb82d.jpg

5a70b9d6991d975d30236822bf9cd168.jpg
huy mkimbiz alirudishwa kwao kweny mabom
 
Back
Top Bottom