UNDENIABLE
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 2,326
- 1,316
Story kapige na sisimizi
Duuuuu.............! mkuu nahisi tatizo lako ni kubwa sana kuliko kawaida! Nimeshawahi kuongea nawewe kwa njia ya simu, you have a very serious problem ndugu yangu! Unavyo comment hivi na unavyoongea kwenye simu ni the same thing!
My sincere conclusion: Fanya ufanyavyo utafute tiba mkuu! Seriously unaumwa mkuu wangu!
MUNGU na akusaidie sana mkuu! Nakupa pole sana na kukuonea huruma mkuu!