Namtafuta Nambua Mlaki

Status
Not open for further replies.
......game siku hizi huyo binti ni meneja wa biashara za mama yake...one of them ni NEEMA HIGH SCHOOL-MBEZI BEACH......jaribu ku goggle hiyo jina then kama wana website ..definatelly nenda kwenye contacts...na kama kuna mobile inaweza kuwa yake au ya mtu atakayekuwa reliable kukupa namba yake......utatuambia basi kama ukifanikiwa ili tujipange kabisa..

definattely najuwa game anataka ngombe na maziwa yake.......si unajuwa maziwa siku hizi kila mahala unapata...kula kitu roho napenda..
 
GT, nione...ila what will I get in return?
Nothing comes for free!!!
 
GT, nione...ila what will I get in return?
Nothing comes for free!!!

Nitakulink up na Binti mmoja wa KiArabu mwenye asili ya Ngazija anaishi sehemu moja inaitwa AL RASHIDIYA -DUBAI na anafanya kazi kampuni moja ya estate agency inaitwa EMAAR PROPERTIES kama meneja wa division ya Emaar international

Binti ni mbichi bado na very soon atahhamia kule UM SAQIN kule karbu bna Dubai Marina kwenye villa yake . she is only 23 single and of course ready to mingle....na kama ndugu yangu sioni tabu why not usioe kabisa maana interms of pesa binti tayari pesa zipo na kama unavyojua sie wengine ni watu wa operations hivyo pesa za mwanamke zinakuwa za Community yaani ZETU WOTE . Pili binti ni MSOMI, tatu ni mzuri kama alicia Keys lakini tofauti ni kuwa alicia keshaanza kunenepeana na kaanza kuwa Kizee

Tatu she is quite adventurous na kiswahili hajui vizuri na nne siwezi sema zaidi lakini itabidi niwepo kama stakeholder mtakapo kutana pale Mall of Emirates maaana nimeambiwa Dubai Mall imejaa washamba


sasa lete info za Nambua kisha tuunganishe mambo
 
......game siku hizi huyo binti ni meneja wa biashara za mama yake...one of them ni NEEMA HIGH SCHOOL-MBEZI BEACH......jaribu ku goggle hiyo jina then kama wana website ..definatelly nenda kwenye contacts...na kama kuna mobile inaweza kuwa yake au ya mtu atakayekuwa reliable kukupa namba yake......utatuambia basi kama ukifanikiwa ili tujipange kabisa..

definattely najuwa game anataka ngombe na maziwa yake.......si unajuwa maziwa siku hizi kila mahala unapata...kula kitu roho napenda..


Si haba hata kidogo nia yangu ni nzuri lakini kwanza nijaribu kama nitaenea au unasemaje?
 
Nitakulink up na Binti mmoja wa KiArabu mwenye asili ya Ngazija anaishi sehemu moja inaitwa AL RASHIDIYA -DUBAI na anafanya kazi kampuni moja ya estate agency inaitwa EMAAR PROPERTIES kama meneja wa division ya Emaar international

Binti ni mbichi bado na very soon atahhamia kule UM SAQIN kule karbu bna Dubai Marina kwenye villa yake . she is only 23 single and of course ready to mingle....na kama ndugu yangu sioni tabu why not usioe kabisa maana interms of pesa binti tayari pesa zipo na kama
Hapa ndipo naipenda JF Mkuu GT kama Icadon akilemaa nipe pande Mtanashati mwenzio nijirambe! Kuhusu Nambua nitakwambia kama anafaa au hafai kwa sasa si unajua hizi chips mayai na kuku wa kisasa she can be like puto
 
Nitakulink up na Binti mmoja wa KiArabu mwenye asili ya Ngazija anaishi sehemu moja inaitwa AL RASHIDIYA -DUBAI na anafanya kazi kampuni moja ya estate agency inaitwa EMAAR PROPERTIES kama meneja wa division ya Emaar international

Binti ni mbichi bado na very soon atahhamia kule UM SAQIN kule karbu bna Dubai Marina kwenye villa yake . she is only 23 single and of course ready to mingle....na kama ndugu yangu sioni tabu why not usioe kabisa maana interms of pesa binti tayari pesa zipo na kama unavyojua sie wengine ni watu wa operations hivyo pesa za mwanamke zinakuwa za Community yaani ZETU WOTE . Pili binti ni MSOMI, tatu ni mzuri kama alicia Keys lakini tofauti ni kuwa alicia keshaanza kunenepeana na kaanza kuwa Kizee

Tatu she is quite adventurous na kiswahili hajui vizuri na nne siwezi sema zaidi lakini itabidi niwepo kama stakeholder mtakapo kutana pale Mall of Emirates maaana nimeambiwa Dubai Mall imejaa washamba


sasa lete info za Nambua kisha tuunganishe mambo

Sounds good to me!!!
Angalia PM yako all the info you need...Good Luck
 
Hapa ndipo naipenda JF Mkuu GT kama Icadon akilemaa nipe pande Mtanashati mwenzio nijirambe! Kuhusu Nambua nitakwambia kama anafaa au hafai kwa sasa si unajua hizi chips mayai na kuku wa kisasa she can be like puto

Checkmate player!!!
 
Uzuri wa JF ni kuwa tunajua kuna watu wamepata mpaka wake wa kuoa kupitia huu mtandao na kiunganishi muhimu sana

Sasa naona i should swallow my pride by coming out na kusema wazi kuwa alikuwa jirani yangu kwenye miaka ya 90's na she grew over me. Mra ya mwisho tulikutana Salander pale kwenye saluni ya mama yake juu ya SAPNA electronics and as they say it was love at first ight lakini baadae nikagundua it was a puppy love

sasa ni miaka zaidi ya 10 hatujaonana na mimi niko DESPERATE kumpata Nambua

Nitashukuru sana kama mtaweza kuniunganisha naye and who knows maybe we can re ignite zile sparks like FRIENDSREUNITED.COM


msaada wenu unahitajika tafhalini na nisingependa kupewa FALSE LEADS


wenu katika mpambano



nawasilisha


Nyongeza ni kuwa nilikuwa naoluza kama kuna mtu anaweza kunifahamisha pa kuipata TSHIRT kama hii ya RUN DMC aniambie maana nimeagizwa na mtu

4jqx1.jpg

Mkuu pole sana kwa kupotezana na Nambua. JF ni uwanja mpana natumaini atakuwepo mtu anayemfahamu na kumfikishia ujumbe.

Nami ningefurahi kupata mawasiliano na Nambua coz ni muda mrefu sana tangu tuliponana wakati tunasoma sekondari. Nambua popote ulipo pls tuwasiliane (bongosamurai@yahoo.com). MANDINGO WHYYYYYY (hope bado unakumbaka hilo jina we used to call each other)
 
Nadhani kwa vyovyote GT kampata tayari Nambua maana amepotea mara tu Icadon alipomtumia PM. Congratulation GT:)
 
ukimkossa kote huko nenda pale sinza vatican ana duka la nguo za kike linaitwa Casandra hapo utampata
 
kaka huyo utampata kwenye 074******** au 074******* au 02*******

ukimkossa kote huko nenda pale sinza vatican ana duka la nguo za kike linaitwa Casandra hapo utampata

Please refrain from posting personal telephone numbers on public forums. Unless the number in question is for public consumption, we discourage such actions at JF. Private Messaging is an alternative should one need to. Have a good day !
 
Mpigie simu mama yake ama baba yake Nambua.

Mama yake ni mbunge wa jimbo la kawe, ukiingia kwenye website ya bunge utapata namba yake. Ama mpigie baba yake tume ya mawasiliano kama kweli unamtafuta Nambua kwa mema.
 
Thread is to close, any issues please PM. Have a good day !
 
Last edited:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom