Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
- Thread starter
- #21
acheni uhuni jama
acheni uhuni jama
GT, nione...ila what will I get in return?
Nothing comes for free!!!
......game siku hizi huyo binti ni meneja wa biashara za mama yake...one of them ni NEEMA HIGH SCHOOL-MBEZI BEACH......jaribu ku goggle hiyo jina then kama wana website ..definatelly nenda kwenye contacts...na kama kuna mobile inaweza kuwa yake au ya mtu atakayekuwa reliable kukupa namba yake......utatuambia basi kama ukifanikiwa ili tujipange kabisa..
definattely najuwa game anataka ngombe na maziwa yake.......si unajuwa maziwa siku hizi kila mahala unapata...kula kitu roho napenda..
Hapa ndipo naipenda JF Mkuu GT kama Icadon akilemaa nipe pande Mtanashati mwenzio nijirambe! Kuhusu Nambua nitakwambia kama anafaa au hafai kwa sasa si unajua hizi chips mayai na kuku wa kisasa she can be like putoNitakulink up na Binti mmoja wa KiArabu mwenye asili ya Ngazija anaishi sehemu moja inaitwa AL RASHIDIYA -DUBAI na anafanya kazi kampuni moja ya estate agency inaitwa EMAAR PROPERTIES kama meneja wa division ya Emaar international
Binti ni mbichi bado na very soon atahhamia kule UM SAQIN kule karbu bna Dubai Marina kwenye villa yake . she is only 23 single and of course ready to mingle....na kama ndugu yangu sioni tabu why not usioe kabisa maana interms of pesa binti tayari pesa zipo na kama
Nitakulink up na Binti mmoja wa KiArabu mwenye asili ya Ngazija anaishi sehemu moja inaitwa AL RASHIDIYA -DUBAI na anafanya kazi kampuni moja ya estate agency inaitwa EMAAR PROPERTIES kama meneja wa division ya Emaar international
Binti ni mbichi bado na very soon atahhamia kule UM SAQIN kule karbu bna Dubai Marina kwenye villa yake . she is only 23 single and of course ready to mingle....na kama ndugu yangu sioni tabu why not usioe kabisa maana interms of pesa binti tayari pesa zipo na kama unavyojua sie wengine ni watu wa operations hivyo pesa za mwanamke zinakuwa za Community yaani ZETU WOTE . Pili binti ni MSOMI, tatu ni mzuri kama alicia Keys lakini tofauti ni kuwa alicia keshaanza kunenepeana na kaanza kuwa Kizee
Tatu she is quite adventurous na kiswahili hajui vizuri na nne siwezi sema zaidi lakini itabidi niwepo kama stakeholder mtakapo kutana pale Mall of Emirates maaana nimeambiwa Dubai Mall imejaa washamba
sasa lete info za Nambua kisha tuunganishe mambo
Hapa ndipo naipenda JF Mkuu GT kama Icadon akilemaa nipe pande Mtanashati mwenzio nijirambe! Kuhusu Nambua nitakwambia kama anafaa au hafai kwa sasa si unajua hizi chips mayai na kuku wa kisasa she can be like puto
Uzuri wa JF ni kuwa tunajua kuna watu wamepata mpaka wake wa kuoa kupitia huu mtandao na kiunganishi muhimu sana
Sasa naona i should swallow my pride by coming out na kusema wazi kuwa alikuwa jirani yangu kwenye miaka ya 90's na she grew over me. Mra ya mwisho tulikutana Salander pale kwenye saluni ya mama yake juu ya SAPNA electronics and as they say it was love at first ight lakini baadae nikagundua it was a puppy love
sasa ni miaka zaidi ya 10 hatujaonana na mimi niko DESPERATE kumpata Nambua
Nitashukuru sana kama mtaweza kuniunganisha naye and who knows maybe we can re ignite zile sparks like FRIENDSREUNITED.COM
msaada wenu unahitajika tafhalini na nisingependa kupewa FALSE LEADS
wenu katika mpambano
nawasilisha
Nyongeza ni kuwa nilikuwa naoluza kama kuna mtu anaweza kunifahamisha pa kuipata TSHIRT kama hii ya RUN DMC aniambie maana nimeagizwa na mtu
...Kwani hii michezo ya ku-rublicate na sabuni bado ipo??Asa picha mikao ya hasara tena si utamaliza vaseline au sabuni?
kaka huyo utampata kwenye 074******** au 074******* au 02*******
ukimkossa kote huko nenda pale sinza vatican ana duka la nguo za kike linaitwa Casandra hapo utampata