Bwana Ally Hamis Kilao ni mkazi wa shinyanga. Aliniuzia kiwanja mwaka 2020 ila kwenye document hakuandika namba yake ya simu.
Kiwanja kimeleta shida kidogo na yeye ndiye mtu pekee anayeweza kunisaidia kutatua tatizo hilo. Naomba kama kuna mtu anamfahamu anisaidie mawasiliano yake.
Nitaambatanisha na picha yake ili kama kuna mtu anamfahamu anisaidie kuniunganisha naye.
Nitashukuru sana.
Kiwanja kimeleta shida kidogo na yeye ndiye mtu pekee anayeweza kunisaidia kutatua tatizo hilo. Naomba kama kuna mtu anamfahamu anisaidie mawasiliano yake.
Nitaambatanisha na picha yake ili kama kuna mtu anamfahamu anisaidie kuniunganisha naye.
Nitashukuru sana.