Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 5,868
- 6,480
Muwe kwenye unyumba ama muwe kwenye ndoa, aisee kisw kina matabaka nimeamin..!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyovyote vile ilimradi umeelewa.Muwe kwenye unyumba ama muwe kwenye ndoa, aisee kisw kina matabaka nimeamin..!!
Sent using Jamii Forums mobile app
wapo..Huko ulipo wanawake wamekwisha au umeamua kupoteza muda na pesa
Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE
Watakuja wala usijari maana vyuma vilivyo bana, lazima PM kwako text za wadada zikimbizane!!Vyovyote vile ilimradi umeelewa.
Mkuu kwani mimi natengeneza pesa hadi iwe hivo kaka, vyuma vinatatuliwa na maarifa.Watakuja wala usijari maana vyuma vilivyo bana, lazima PM kwako text za wadada zikimbizane!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama atakuja kwa style hiyo anaweza akaleta tafarani, upendo kwanza.Watakuja wala usijari maana vyuma vilivyo bana, lazima PM kwako text za wadada zikimbizane!!
Sent using Jamii Forums mobile app
upendo huanza kutokana na magum, kuna wadada wengi wanaolewa kutokana na hali zao za kimaisha kuwa ngumu sana, sasa hutafta egamio..Kama atakuja kwa style hiyo anaweza akaleta tafarani, upendo kwanza.
Kama basi mdada atanipenda at least yuko na shida na doo amna kabisa anionyeshe nia tuende njia moja ya kufanikiwa ili mmoja akiwa hayupo Leo au kesho familia hailali njaa wala kero ndogo ndogo.upendo huanza kutokana na magum, kuna wadada wengi wanaolewa kutokana na hali zao za kimaisha kuwa ngumu sana, sasa hutafta egamio..
Sent using Jamii Forums mobile app
Watakuja mkuu,Kama basi mdada atanipenda at least yuko na shida na doo amna kabisa anionyeshe nia tuende njia moja ya kufanikiwa ili mmoja akiwa hayupo Leo au kesho familia hailali njaa wala kero ndogo ndogo.
Wakati mwingine siri inaweza kuwa kisiriri!!Siri ikiwa yangu inakuwa vizuri zaidi