ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 19,856
- 72,770
Mshamba kutoka MwanzaMsukuma tena? Toka lini?
Mshamba kutoka MwanzaMsukuma tena? Toka lini?
Tumeunganishwa na Upendo wa Dhati na kweli na siyo Pesa. Pesa Baki nazo wewe. Sisi tunabakia kupendanaaKwahiyo unababaika na matisheti ya ccm? Matisheti yenyewe wanapewa kama ndio mshahara wao kwa kupiga domo hapa JF?
Wewe ni wa thamani sana,achana na huyo mzee atakupotezea muda tu,
Buku 7 kwa siku ndio mtaishi? Au mtakua mnashindia ndimu na chumvi tu?
Malipo baba malipo, ajaye hawajui anakuja na machawa wake tena promax kuliko hao akina Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah mzee wa gentleman 😂 😂 😂 😂Hao jamaa ni kama wazazi wa mwanamke tu, wanafanya kazi na serikali yoyote iliyopo madarakani.
as long as CCM bado ipo basi na wao bado wapo sana hivyo sidhani kama wameathirika kwa lolote
Wakome kabisa.Kweli wamepotea!
Amalia siku mbili mfululizo.secretarybird
Uko wapi?
Ama kweli Wanawake sio wa kuwaamini aisee.Tumeunganishwa na Upendo wa Dhati na kweli na siyo Pesa. Pesa Baki nazo wewe. Sisi tunabakia kupendanaa
Wala sijawahi kufika huko maisha yangu yote,itakua umefananisha na ID ya mtu mwingine tu.Mshamba kutoka Mwanza
Ule uzi wa dudubaya ulivyokua unaelezea nikadhani umekulia hukoWala sijawahi kufika huko maisha yangu yote,itakua umefananisha na ID ya mtu mwingine tu.
Dudubaya kaishi zaidi Dar toka ujana wake.Ule uzi wa dudubaya ulivyokua unaelezea nikadhani umekulia huko
Sema wengi wao naona kabisa akili hawana. Mfano huyo mzee wa ladies and gentlemen anaetumia kichwa cha chini hata usimpolipa yeye atawalamba miguu tuMalipo baba malipo, ajaye hawajui anakuja na machawa wake tena promax kuliko hao akina Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah mzee wa gentleman 😂 😂 😂 😂
Hata akiua wewe unamsaport tuu!Nipo na naendelea Kumuunga Mkono RAIS Wangu Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan hadi Dakika Ya Mwisho.
Sita msaliti Rais Wangu Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
Hujui sifa kuu ya chawa.Hao chawa watakuja kuabika vibaya sana na kulazimika kukimbia jukwaa na kuja na id mpya, uchawa wao ni pro max
😂😂😂😂😂 AaaiiiiiiiNasema ukweli kabisa . Wewe ni wa Thamani kwangu na kilicho chako ni changu na changu ni chako na hata kadi Yangu ya CCM ni yako pia na matisheti ya CCM ni yako pia na utavaa na kutamba nayo mitaani
Kwa kweli Tlaatlaah ameumia sana ndiye alikuwa anategemea Nchimbi kuwa Rais ajaye
hawa ni wawili tofauti huzu talalala ana hasila na matusi lakini lukasi ni chawa promax hata ulitukane halina shidaHapa unamtafuta mtu mmoja.
Ndio maana mara zote hutoweka pamoja na akianzisha nyuzi mmoja anakuwa wa kwanza kuja kuoike ama kujichekesha na kureply.
Upendo kwa watekaji na wauaji😁,kama vice presidents, speaker and prime minister wamefanywa mbaya wewe ni nani Lucas Msandambwa 😂,na kama wameua mgonjwa wa akili nabii Tito hata wewe hauko salama, pole nduguTumeunganishwa na Upendo wa Dhati na kweli na siyo Pesa. Pesa Baki nazo wewe. Sisi tunabakia kupendanaa
💯Hujui sifa kuu ya chawa.
Chwa hana boss.
Hata leo mapinduzi yakifanyika lissu akawa raisi, haohao chawa ndo watakua wa kwanza kumpongeza na kumsifia
sawa, basi tuwaone wakija na swaga mpya tuone hizo sifa kuuHujui sifa kuu ya chawa.
Chwa hana boss.
Hata leo mapinduzi yakifanyika lissu akawa raisi, haohao chawa ndo watakua wa kwanza kumpongeza na kumsifia
Na bado 📌🔨Kwa kweli Tlaatlaah ameumia sana ndiye alikuwa anategemea Nchimbi kuwa Rais ajaye
Tunajiandaa kumsifia makamu wa Raisi mpya na tunaandaa nondo Kali za kumchafua Dr E. Nchimbi.