Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 39,378
- 25,421
Kaa kwa Kutulia Utafurahi Mwenyewe Ndugu Yangu MtanzaniaLucas atakuja na andiko pages 100
Kaa kwa Kutulia Utafurahi Mwenyewe Ndugu Yangu MtanzaniaLucas atakuja na andiko pages 100
Jinga kabisa wewe, pumbaff la taifa.Kaa kwa Kutulia Utafurahi Mwenyewe Ndugu Yangu Mtanzania
Nimekusamehe bure kabisa Maana hujui ulitendaloJinga kabisa wewe, pumbaff la taifa.
Nitatoa hadi hati Miliki za Mali zote zinazomilikiwa na CCMAtanioa vipi na mahari hataki kutoa
Ukiona id mpya zipo sana kwenye jukwaa la siasa ujue ndo wao, hawana namna nyingine ya chawa kuhama koti zaidi ya kujifanya id mpya
Muogope MunguNitatoa hadi hati Miliki za Mali zote zinazomilikiwa na CCM
Nasema ukweli kabisa . Wewe ni wa Thamani kwangu na kilicho chako ni changu na changu ni chako na hata kadi Yangu ya CCM ni yako pia na matisheti ya CCM ni yako pia na utavaa na kutamba nayo mitaaniMuogope Mungu
😆😆🙌🙌🙌Nasema ukweli kabisa . Wewe ni wa Thamani kwangu na kilicho chako ni changu na changu ni chako na hata kadi Yangu ya CCM ni yako pia na matisheti ya CCM ni yako pia na utavaa na kutamba nayo mitaani
Hapo sawa! Nikadhani The Icebreaker katuachanishaNasema ukweli kabisa . Wewe ni wa Thamani kwangu na kilicho chako ni changu na changu ni chako na hata kadi Yangu ya CCM ni yako pia na matisheti ya CCM ni yako pia na utavaa na kutamba nayo mitaani
Hawezi kutuachanisha mimi na wewe ni Mungu pekee atatuachanisha.Wewe ndiye pendo langu na kipenzi cha moyo Wangu ❤️Hapo sawa! Nikadhani The Icebreaker katuachanisha
Leo nitalala usingizi mzuriHawezi kutuachanisha mimi na wewe ni Mungu pekee atatuachanisha.Wewe ndiye pendo langu na kipenzi cha moyo Wangu ❤️
Kwahiyo unababaika na matisheti ya ccm? Matisheti yenyewe wanapewa kama ndio mshahara wao kwa kupiga domo hapa JF?Hapo sawa! Nikadhani The Icebreaker katuachanisha
Wewe ni falaaaaaaa.Leo nitalala usingizi mzuri
Huyu ni mkulima! Huwezi jua uteuzi unakaribiaKwahiyo unababaika na matisheti ya ccm? Matisheti yenyewe wanapewa kama ndio mshahara wao kwa kupiga domo hapa JF?
Wewe ni wa thamani sana,achana na huyo mzee atakupotezea muda tu,
Buku 7 kwa siku ndio mtaishi? Au mtakua mnashindia ndimu na chumvi tu?
Msukuma una hasira hivi.!Wewe ni falaaaaaaa.
Nimekumind kinoma,achana na huyo njaa kali.
Msukuma tena? Toka lini?Msukuma una hasira hivi.!
Huyo labda ateuliwe kitengo cha kufua matisheti ya chama.Huyu ni mkulima! Huwezi jua uteuzi unakaribia