secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 21,617
- 44,456
- Thread starter
- #41
Kwa hiyo unataka kusema hawajalipwa buku saba zao ndiyo maana hawajaja na chapisho humu?Hao jamaa ni kama wazazi wa mwanamke tu, wanafanya kazi na serikali yoyote iliyopo madarakani.
as long as CCM bado ipo basi na wao bado wapo sana hivyo sidhani kama wameathirika kwa lolote