Namtafuta king'asti awe mke wangu

Namtafuta king'asti awe mke wangu

Plot Agent

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2014
Posts
311
Reaction score
20
Kijana mtanashati na niko vizuri kunako bed, my age 27,natafuta mwanamke wa kuoa age between 32-40. Mimi nipo Dar,Warembo karibuni.
 
Ulivoandika hiyo heading utafikiri king'ast huyu wa jf. Rekebisha hiyo heading waweza kuta unakuwa deleted kabisa, maana ban haitakutosha.
 
Ngoja kama haujaresitishwa in pisi milele utaona.



Hamjamuelewa wakuu, huyu hamtafuti King'asti wa jf ambaye nasikia ni wa Paw, yeye anatafta king'asti wake alieimbiwa wimbo na msanii wa bongo flavour. Msimtfutie jamaa awe deleted na Paw maana ban ya maiha haitatosha! Naye haelewi nilimshauri abadilishe heading hasikii.
 
Ulivoandika hiyo heading utafikiri king'ast huyu wa jf. Rekebisha hiyo heading waweza kuta unakuwa deleted kabisa, maana ban haitakutosha.
Naomba nieleweke si king'asti huyo wa jf, hapa namaanisha "Mpenzi (Mwanamke) anaye nizidi umri."
 
mmh, wewe unatafuta mlezi! una umri wa miaka 27, unataka mke mwenye miaka 40? unatafuta wa kukulipia masters hehehe!
OLESAIDIMU, unanitafutia nini maneno kwa paw na nnapelekwa brazil mwenzio kuangalia kombe la mbuzi?
Kijana mtanashati na niko vizuri kunako bed, my age 27,natafuta mwanamke wa kuoa age between 32-40. Mimi nipo Dar,Warembo karibuni.
 
Last edited by a moderator:
baba watoto, hebu achana na wehu hawa. please confirm zile hotel bookings za brazil tusije tukakosa pa kulala. niko kwa fundi nakuchongea mawani ya mbao manake nisije kukupea talaka ugenini
nasikia kuitwa huku...

unapewa ng'ombe kama 200 hivi ukawachunge wiki nzima na uwarudishe bila kupoteza hata mmoja. uthijali ntakusindikiza.
Cc OLESAIDIMU
Ni proposie ki Maasai. Wanafanyagaje?🙂

hahaha rula karibia inavunjika hii!
Wewe ndie king'asti ama unaemtaka ndie king'asti?
 
Last edited by a moderator:
baba watoto, hebu achana na wehu hawa. please confirm zile hotel bookings za brazil tusije tukakosa pa kulala. niko kwa fundi nakuchongea mawani ya mbao manake nisije kukupea talaka ugenini

unapewa ng'ombe kama 200 hivi ukawachunge wiki nzima na uwarudishe bila kupoteza hata mmoja. uthijali ntakusindikiza.
Cc OLESAIDIMU

hahaha rula karibia inavunjika hii!

tutaenda bibi weye manake huyu Mmasai ni pasua kichwa kweli.

Unaweza jikuta bi harusi unachezea nakos. hahaa.
 
mmh, wewe unatafuta mlezi! una umri wa miaka 27, unataka mke mwenye miaka 40? unatafuta wa kukulipia masters hehehe!
OLESAIDIMU, unanitafutia nini maneno kwa paw na nnapelekwa brazil mwenzio kuangalia kombe la mbuzi?

Mrembo unaniangusha, ata we una fikra zakale kama hizo #Badilika bhana*. Nyinyi girls mbona mnatoka na vibabu?
"#Love and #age are two different entities."
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom