Namtafuta king'asti awe mke wangu

Namtafuta king'asti awe mke wangu

mmh, wewe unatafuta mlezi! una umri wa miaka 27, unataka mke mwenye miaka 40? unatafuta wa kukulipia masters hehehe!
OLESAIDIMU, unanitafutia nini maneno kwa paw na nnapelekwa brazil mwenzio kuangalia kombe la mbuzi?

Ha ha haaaa anakuona kama Melinda foundation!!!!!!!
Dogo anakalia waya live safari iingie chenga!!!!
 
Last edited by a moderator:
unapewa ng'ombe kama 200 hivi ukawachunge wiki nzima na uwarudishe bila kupoteza hata mmoja. uthijali ntakusindikiza.
Cc OLESAIDIMU

Hapo tu ndio nakupendea dadangu King'asti kwa pasi za mwisho! !!!!!
 
Last edited by a moderator:
Nichoree ramani niifikie furaha mie!!!!!

Hahahahahha. Lol. Hii kweli miksa Kkoo.I wonder where you get your words from.

BTW, big up for your arguments jana Siasani. If I knew shit I would back you up, but you did great.🙂
 
jukwa hili sio la wahuni ni jukwaa la watu wenye akiri timamu wenye heshima jifunze kutumia lugha vizuri ukileta lugha za kihuni utakutana na wahuni wenzio mke mzuri au mchumba mzuri hutafutwa kwa lugha nzuri nenda shule kaajifunze lugha ukiwa sawa na ukafahuru somo lugha njoo uweke posti zako za kutafuta mchumba sawa
 
jukwa hili sio la wahuni ni jukwaa la watu wenye akiri timamu wenye heshima jifunze kutumia lugha vizuri ukileta lugha za kihuni utakutana na wahuni wenzio mke mzuri au mchumba mzuri hutafutwa kwa lugha nzuri nenda shule kaajifunze lugha ukiwa sawa na ukafahuru somo lugha njoo uweke posti zako za kutafuta mchumba sawa

Ninashaka na upeo wa akiri zako,this is social network acha ushamba!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom