cansir
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 303
- 310
hivyi huyu mdudu yupo??!Yupo humu....ndege john
ndege john
hivyi huyu mdudu yupo??!Yupo humu....ndege john
badilishaJe, umefikiria pia kuwa kama huyo John bado yupo kwenye planet earth? Kama bado yupo hai, basi ujue yawezekana wakati wewe unabadirisha NO kuwa YES, na yeye anabadirisha YES kuwa NO baada ya kupata YES sehemu nyingine. Huyo mtoto hakuwa na mama?
Dada divine nime Ku pmHabarini wapendwa, namtafuta kaka yangu wa hiari tulikutana kwenye bus linalotoka dar es salaam kwenda mbeya ilikuwa mwaka 2008 mwez wa 3 kwenda wa 4 kama sijasahau
Nakuomba kama upo humu JF niambie sababu nilibadirisha No, na wakati unasafiri ulisafiri na mtoto wako mdogo alikuwa na miezi ulikuwa unampeleka kwa bibi yake Iringa, baada ya kukutwa na matatizo ofisini na ktk familia
Mtoto atakuwa na miaka 9 kwa sasa,
Ulisoma kantalamba kama sijasahau jina la shule n
Msiniulize john nani sababu sijui ni jina la ubin wa baba yake
Kama upo huku naomba uniambie. Kuna vitu vingine nimeacha sababu binafsi ili nijue kama ni wewe nitakapo kuuliza maswali
Asanteni
Heaven Sent
alikupa mgegedo wa one night stand leo umemkumbuka kila la kheri ukimkosa njoo kwanguHabarini wapendwa, namtafuta kaka yangu wa hiari tulikutana kwenye bus linalotoka dar es salaam kwenda mbeya ilikuwa mwaka 2008 mwez wa 3 kwenda wa 4 kama sijasahau
Nakuomba kama upo humu JF niambie sababu nilibadirisha No, na wakati unasafiri ulisafiri na mtoto wako mdogo alikuwa na miezi ulikuwa unampeleka kwa bibi yake Iringa, baada ya kukutwa na matatizo ofisini na ktk familia
Mtoto atakuwa na miaka 9 kwa sasa,
Ulisoma kantalamba kama sijasahau jina la shule n
Msiniulize john nani sababu sijui ni jina la ubin wa baba yake
Kama upo huku naomba uniambie. Kuna vitu vingine nimeacha sababu binafsi ili nijue kama ni wewe nitakapo kuuliza maswali
Asanteni
Heaven Sent
vipi ulimpata?Habarini wapendwa, namtafuta kaka yangu wa hiari tulikutana kwenye bus linalotoka dar es salaam kwenda mbeya ilikuwa mwaka 2008 mwez wa 3 kwenda wa 4 kama sijasahau
Nakuomba kama upo humu JF niambie sababu nilibadirisha No, na wakati unasafiri ulisafiri na mtoto wako mdogo alikuwa na miezi ulikuwa unampeleka kwa bibi yake Iringa, baada ya kukutwa na matatizo ofisini na ktk familia
Mtoto atakuwa na miaka 9 kwa sasa,
Ulisoma kantalamba kama sijasahau jina la shule n
Msiniulize john nani sababu sijui ni jina la ubin wa baba yake
Kama upo huku naomba uniambie. Kuna vitu vingine nimeacha sababu binafsi ili nijue kama ni wewe nitakapo kuuliza maswali
Asanteni
Heaven Sent