Namtafuta huyu kaka

Sorry if I'm wrong but shida yangu ni kubwa zaidi ya kuwa "wrong"
 
A
Haaaaa dah jf raha sana, ujumbe umefika
 
[emoji15] nimelewa au?
 
Oyaa
 
Mimi namtafuta Dada mmoja aliwahi kusoma Euckenforde High School Tanga anaitwa Glory Sakaya, kwao ilikua Morogoro. Kama yupo au mnamfahamu nisalimieni sana, nimemtafuta hadi basi
Picha yake
 
Maybe,

Maybe, who knows
Hahahaa
ila mrembo una vimacho vya uchokozi vilivyojaa mahaba kiukweli umeulainisha moyo wangu mithili ya barafu kwenye joto kali.... naomba picha zako nyingine taafadhali au ninaweza kuja PM kwa maelezo zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…