Sorry if I'm wrong but shida yangu ni kubwa zaidi ya kuwa "wrong"ni tabia mbaya kuuza sura za watu na wewe kwanza hufai kuitwa binadamu je huko FB hujampata? marafiki zake je? au unatembeza uso? km unauza sura hebu jaribu kitoa sura za watu ubaki wewe tu. na sijui ndo mmepigia picha gari la lecture wenu tujue usafiri wenu. UMENIKERAAAAAAAA hata hao watu naahirisha kukujuza walipo.
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Jaman pengine anahitaji msaada wa kweli.
Kwanza kajiunga jf leo,hajui hata panaendaje.
Muacheni jmn
Haaaaa dah jf raha sana, ujumbe umefikaNamfahamu anaitwa Frank but kwao si Dar bali ni Rombo Mashati kuelekea Horiri usije changanya na Horohoro maana Horiri ipo Kilimanjaro na Horohoro ipo Tanga japo ukipita horiri/horohoro lazima tu utafika kwao rafiki ake mkuu yule oding alokuja chato ile ya geita wala si Mexico ambapo alikuja kumpa hi rafiki ake na kuhudhuria misa pale chato RC jirani kidogo na ile primary school alosoma mkuu yaani chato primary school kabla hajakwenda katoke seminary ile ya biharamulo wala si katoke ttc ile ya muleba karibu na kule ambapo ata wameshindwa kushushiwa bei ya vifaa vya ujenzi ili waweze kumudu gharama za ujenzi wa nyumba zao zilizoharibiwa na ile kitu wanaitaga disturbance ya epi center sijui ndo shake ya atmosphere ama ni kitu kingine mie sielewi ila serikali basi iwashushie bei ya vifaa vya ujenzi aisee.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Njoo pm nikusaidie kumpata.
Wewe Mulhat mahindi mbona unataka kuzingua?[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
[emoji15] nimelewa au?Namfahamu anaitwa Frank but kwao si Dar bali ni Rombo Mashati kuelekea Horiri usije changanya na Horohoro maana Horiri ipo Kilimanjaro na Horohoro ipo Tanga japo ukipita horiri/horohoro lazima tu utafika kwao rafiki ake mkuu yule oding alokuja chato ile ya geita wala si Mexico ambapo alikuja kumpa hi rafiki ake na kuhudhuria misa pale chato RC jirani kidogo na ile primary school alosoma mkuu yaani chato primary school kabla hajakwenda katoke seminary ile ya biharamulo wala si katoke ttc ile ya muleba karibu na kule ambapo ata wameshindwa kushushiwa bei ya vifaa vya ujenzi ili waweze kumudu gharama za ujenzi wa nyumba zao zilizoharibiwa na ile kitu wanaitaga disturbance ya epi center sijui ndo shake ya atmosphere ama ni kitu kingine mie sielewi ila serikali basi iwashushie bei ya vifaa vya ujenzi aisee.
[emoji85] [emoji85] [emoji85]Wewe Mulhat mahindi mbona unataka kuzingua?
Unaficha nini?[emoji85] [emoji85] [emoji85]
OyaaNamfahamu anaitwa Frank but kwao si Dar bali ni Rombo Mashati kuelekea Horiri usije changanya na Horohoro maana Horiri ipo Kilimanjaro na Horohoro ipo Tanga japo ukipita horiri/horohoro lazima tu utafika kwao rafiki ake mkuu yule oding alokuja chato ile ya geita wala si Mexico ambapo alikuja kumpa hi rafiki ake na kuhudhuria misa pale chato RC jirani kidogo na ile primary school alosoma mkuu yaani chato primary school kabla hajakwenda katoke seminary ile ya biharamulo wala si katoke ttc ile ya muleba karibu na kule ambapo ata wameshindwa kushushiwa bei ya vifaa vya ujenzi ili waweze kumudu gharama za ujenzi wa nyumba zao zilizoharibiwa na ile kitu wanaitaga disturbance ya epi center sijui ndo shake ya atmosphere ama ni kitu kingine mie sielewi ila serikali basi iwashushie bei ya vifaa vya ujenzi aisee.
[emoji12] [emoji12] [emoji12]"Rose tabia gani yavkuweka picha yangu humu!!
Nilikuambia nimeoa, na mke wangu yupo humu......dah!!"
Utampata tu........usihofu.
Tehetehe ngoja nikasach na googleMh! mbona huyu jamaa haitwi Frank!
eniwei..am out!!!
Picha yakeMimi namtafuta Dada mmoja aliwahi kusoma Euckenforde High School Tanga anaitwa Glory Sakaya, kwao ilikua Morogoro. Kama yupo au mnamfahamu nisalimieni sana, nimemtafuta hadi basi
Subutuuuuuuu sitaki hahahhahaahPicha yake
Wauliza jibu tena.Kwahiyo wewe ni huyu mdada?
HahahaaMaybe,
Maybe, who knows
Unaficha nini?
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] weka uoneSubutuuuuuuu sitaki hahahhahaah