Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,832
- 37,438
Mbona nipo siku zote.
Kumbe ni wewe?
Mbona nipo siku zote.
Sijafurahishwa na hiki kitu cha kuposti details hizi hapa, heri hata ungeenda kwa PM umpatie....
Igogo acha fixMbona nipo siku zote.
Ameolewa na jamaa moja yupo TISS. Sasa kama uitaji viungo vya mwili wako. We endelea tu kumtafuta.
Sijafurahishwa na hiki kitu cha kuposti details hizi hapa, heri hata ungeenda kwa PM umpatie....
namtafuta joshua mulundi mara ya mwisho nilionanan naye tanganyika packers kawe
Sijafurahishwa na hiki kitu cha kuposti details hizi hapa, heri hata ungeenda kwa PM umpatie....
nenda buguruni sewa anajiuza baada ya kuhaangaika sana kutafuta ajira
wewe ni mtu mpuuzi kabisa... what a shame
Sio huyu mkuu?
![]()
Mwambie JF muunganiko wa taasisi mbalimbali Tanzania ie TISS,POLISI,CRB,JWTZ,IKULU,CCM,CDM etcBila shaka mkuu, hii ndio JF.
Mie namtafuta Pius Kalekela,
mara ya mwisho tuliachana njia panda Segera wakati tunatokea Lushoto.
Yeye alishuka pale Segera na akaelekea Tanga nami nikaja Dar.
Kama upo humu JF, tambua Nakupenda na pia nakutafuta.
Huyu demu uliyeweka hapa mara ya mwisho kupiga mswaki ilikuwa lini? au niwale wa chini ya mlima?Sio huyu mkuu?
![]()