Namtafuta Fridah Evansi

Namtafuta Fridah Evansi

madiya85

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2013
Posts
282
Reaction score
65
Binti huyu namtafuta nilipotezana nae mwaka 2011 udom baada ya kuhitimu masomo plz kwa anayeweza nipatia contact zake anipe kupitia hapa au number 0657371095 yeye ni mwenyeji wa mbeya.
 
nenda buguruni sewa anajiuza baada ya kuhaangaika sana kutafuta ajira
 
nenda buguruni sewa anajiuza baada ya kuhaangaika sana kutafuta ajira

Acha dhihaka hakika hili ulilolisema kama ni uwongo litakugharimu na utalitolea hesabu kuanzia hapa duniani mpaka utakapoonja mauti na hukumu ya mwisho usipokuwa makini hii kauli yako ndo itakuondoa duniani uwenda hata huu mwaka usiumalize, kama unabisha dhihaki kama Mungu aishivyo utaona.
 
Acha dhihaka hakika hili ulilolisema kama ni uwongo litakugharimu na utalitolea hesabu kuanzia hapa duniani mpaka utakapoonja mauti na hukumu ya mwisho usipokuwa makini hii kauli yako ndo itakuondoa duniani uwenda hata huu mwaka usiumalize, kama unabisha dhihaki kama Mungu aishivyo utaona.

hili ni hakika kabisa maelezo yako na kisha laaniwa..
 
i hope kama yupo hapa au kuna mtu anamjua utampata,pia jaribu facebook kama yupo.
Huyo alesema anajiuza Na kweli Mungu atailipa kauli yake,hakukuwa na sababu ya kusema hivyo,seriously naamini na nafsi yako itakusuta.
Sio ustaarab,na sio ubinadamu.
Kuna mahali pa dhihaka na aina ya mzaha,but not way u did.
 
Ukimpata nambie maana na mimi namtafuta Fridah shemeji yake David. Maybe ndio huyo huyo
cc Kambaku
 
Still searching!!!! Pole kaka kwa majubu utakayoyapata kupitia humu kwenye jf, vumilia tu maana humu kuna watu wa aina mbali mbali
 
Sio huyu mkuu?
AAAAAElFTkSuQmCC
 

Attachments

  • Fridah.jpg
    Fridah.jpg
    34.2 KB · Views: 187
fridah evansi.....hii UDOM,yetu mimacho tu
 
Ndibalema, ndiye yeye mkuu dah safi sana uwenda unamjua vyema mpaka picha yake unayo, basi naweza pata contact zake wa kwetu?
 
Last edited by a moderator:
Ameolewa na jamaa moja yupo TISS. Sasa kama uitaji viungo vya mwili wako. We endelea tu kumtafuta.
 
Binti huyu namtafuta nilipotezana nae mwaka 2011 udom baada ya kuhitimu masomo plz kwa anayeweza nipatia contact zake anipe kupitia hapa au number 0657371095 yeye ni mwenyeji wa mbeya.

Yupo Facebook Kajaa Tele Anatumia Fridah Evans M-search tu utampata.

FRIDAH EVANS.JPG
 
Popote Nilionapo jina 'FRIDA' huwa moyo unanienda mbio nikimkumbuka mrembo mmoja niliyesoma nae primary huko mby!!!!!
 
Mie namtafuta Pius Kalekela,
mara ya mwisho tuliachana njia panda Segera wakati tunatokea Lushoto.
Yeye alishuka pale Segera na akaelekea Tanga nami nikaja Dar.
Kama upo humu JF, tambua Nakupenda na pia nakutafuta.
 
Mie namtafuta Pius Kalekela,
mara ya mwisho tuliachana njia panda Segera wakati tunatokea Lushoto.
Yeye alishuka pale Segera na akaelekea Tanga nami nikaja Dar.
Kama upo humu JF, tambua Nakupenda na pia nakutafuta.

Mbona nipo siku zote.
 
Back
Top Bottom