Namtafuta dada mrefu mwenye mwili mkubwa

Namtafuta dada mrefu mwenye mwili mkubwa

chinatown

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2015
Posts
1,232
Reaction score
1,107
Wana Jf,

Kuna dada ameonekana uchumi supermarket quality centre nina ujumbe wake muhimu sana nadhani anamiliki gari 'nadia ' maroon number T688 BVN naomba mwenye kumfahamu yeye au hii gari please ni pm ni muhimu kwake sana ameonekana leo tarehe 16/11/2015 jioni mida ya 12 mpaka saa 1 usiku akiwa amevalia suti ya darkblue au nyeusi na wigi.
 
Kama unajua plate number yake, si ukaulize TRA! wao Wana Tin namba yake ya mlipa kodi watakuhoji na kukupa with accountability
 
Mrefu mwenye mwili mkubwa, kitaalam tunamwita "giant"
 
Kama unajua plate number yake, si ukaulize TRA! wao Wana Tin namba yake ya mlipa kodi watakuhoji na kukupa with accountability

nilikuwa namfuata kumpa huo ujumbe gari ikaondoka nikaweza kukariri number za gari
 
Nenda TRA utapata mawasiliano yake kwa kutumia namba ya gari
 
umalaya ni mzigo utesao
spycho........ukitaka kujua tabia za watu share nao maongezi utajuwa huyu ni mtaalamu wa nini na tabia na mawazo ambayo muda wake anayo
binafsi naamini kuwa siwezi kukufikiria wewe kwa mabaya au hasi kama si mtenda ma hasi
 
Nasikitika kukujulisha kuwa huyo ana mwenyewe.jaribu pengine!
 
Ni mtoto wa shangazi yake bibi kizaa mama mkwe wake na mjombake babu wa mama kizaa mke wa baba mdogo. Kama huna nia mbaya sema nikurushie namba yake.
 
Kwanini mufikirie maovu,je kama alimuona na tapeli na anataka amsaidie?
 
Kwanini mufikirie maovu,je kama alimuona na tapeli na anataka amsaidie?

asante ndg unajua sisi waafrika tunamatatizo mengi sana na matatizo ya kifikra ni tatizo
ambalo tunalo rejea kauli ya Ronald Triump ......we are best in sex ....kutukana kukaa kwenye magheto na kulalamika tu kuwa tunaonewa tunabaguliwa nk nk
badala ya kuwaza tofauti wanawaza kama wao walivyo any way mungu awasaidie
 
tatzo umeiweka kwnye lov conect ndo mana watu wanaona km unataka mzgo wa dadatolu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom