Namtafuta Bantu lady

Namtafuta Bantu lady

Awe tu mzima.
Maana nchi hii kubwa ukiwa chumbani kwako ikapotea ni kawaida
 
Bantu mivocha.
Nakumbuka alikua na challenge yake ya kumwaga mivocha ya kutosha kila siku, sikuwahi kuambulia hata siku moja.
Kuna dada anaitwa Hope urassa, yule alikua na speed ya vidole isiyo ya kawaida. Katika vocha 20 zitazowekwa, 15 anapita nazo yeye. Alafu alikua halali, hata vocha ziwekwe saa tisa usiku yumoo
 
Bantu mivocha.
Nakumbuka alikua na challenge yake ya kumwaga mivocha ya kutosha kila siku, sikuwahi kuambulia hata siku moja.
Kuna dada anaitwa Hope urassa, yule alikua na speed ya vidole isiyo ya kawaida. Katika vocha 20 zitazowekwa, 15 anapita nazo yeye. Alafu alikua halali, hata vocha ziwekwe saa tisa usiku yumoo
Ikazuka vita kubwa kati ya bantu lady na Shammy- 😅😅
 
Back
Top Bottom