Namtafuta baba yangu na ukoo wake

Namtafuta baba yangu na ukoo wake

Aisee ww ni ndg yangu upande wa mama yako ..story nilizo wahi kusikia ni mzee wako hakuwa mtanzania ...muulizie mjomba Evance hapo simike mbeya ...babu yako si mzee Zakaria Mangazini ?? Asili ya akina babu ni milepa huko mtowisa ...au muulizie mama yako mkubwa Leocadia zakaria mangazini yupo maeneo ya ubungo kibangu dar...najua anamjua huyo baba yako na asili yake ni wapi ...pole sana mdogo wangu
Kwel aisee zacharia maseta n mdogo wako??wajomba wote awaelew.. na mjomba evance yupo sumbawanga sikuwahi kumuona huwa namsikiaa.. ma mkubwa leokadia ndo alienilea tokea mama amefariki nae afaham
 
Kama atakuwa ni ndugu yako nahisi unamfahamu hata sura yake, je upo tayari kuonana nae na kumsaidia kuyajua anayotaka kujua?

Na kwanini ukoo wa mama yake mko hivyo, mna majibu ila hamtaki hamjue baba yake hadi aje kuuliza kweye mtandao?
Yah , huyu mshikaji tunafahamiana vzr tu ..sema kwa sasa mi niko dar , yy kwa mara ya mwisho nilimuacha mbeya mjini kwa babu yake mzaa mama yake amejenga maeneo ya simike nyuma ya hosptali ya wazazi ya meta ...mengine hayo ya kuhusu kutokujaliana mi cjui nn kimetokea ..maana nizaidi ya miaka 13 toka tusambalitike
 
Kwel aisee zacharia maseta n mdogo wako??wajomba wote awaelew.. na mjomba evance yupo sumbawanga sikuwahi kumuona huwa namsikiaa.. ma mkubwa leokadia ndo alienilea tokea mama amefariki nae afaham
Mi nakufahamu hata ww unanifahamu vzr tu ..zakaria maseta ni mdogo wangu baba mmoja na mama mmoja ..ww si unaitwa John ??
 
Nadhani iko haja ya mods kuanzisha jukwaa la kutafutana..hope litakua msaada Mkubwa sana.. wengi tumepotezana na wapendwa wetu kitambo tungependa kujua wako wapi@ccInvisible
 
Mbaya zaidi mother kaandika majina tofauti kwenye kwenye cheti cha kuzaliwa na alivyo niandisha shule .yan majina yanatofautiana ukoo RITA mpaka kesho wananisumbua tu wanasema labda liongezewe2 ila sio kubadilishA RITA mungu anawaona
 
Ungeandika na jina kamili la mama yako pia, kabila lake, etc. Vilevile ungeandika kabila la huyo babako, kama unafahamu...kumbuka kadri unavyoweka taarifa nyingi kuwahusu, ndivyo unavyorahisisha uwezekano wa kumpata babako.
Kila la kheri...
 
Hilo jina la ALEXANDER SESELELA ni sahihi kweli. Kuna makabila wanapenda kuwapa Watoto wao majina ya babu ndo kuwa majina ya baba zao Wako wengi sana na hii inasababishwa na machungu wakati mwingine kutendwa na mzazi wa kiume.
Usichoke kutafuta utampata tu, ukipata Muda nenda kwa makampun ya magazeti na media vyombo vya habari kama radio waandike taarifa zako za muhimu
 
Pole sana! Ndugu yangu! Mimi najua maswali mengi unayo kuwa nayo unapokuwa kwenye hali kama hii sababu na mimi nimepitia hali hii nilikuja kutana na baba nimemaliza chuo kikuu baada ya kuniacha sijaanza hata nursery. Kwa hiyo nakuelewa sana
 
Hapana mim n geofrey John n kaka yang na yey hata aelewi yupo wap
Mmeitwa majina kama kwetu

Kaka angu anaitwa John
Na mimi naitwa Geofrey


Malizana na huyo mkuu hapo...utapata mwanga tu
Pole sana
 
Hivi wanawake huwa mnawaza nini kutowaeleza watoto upande wa pili hata kama Baba mna beef naye? just background mtoto ajuwe chimbuko la Baba yake.

hii inakera sana kwakweli kina dada mjirekebishe kwa hili mnawatesa sana kisaikolojia hawa watoto bila nyinyi kujuwa, halafu usikute limama kwa kunogewa na penzi jipya linakwenda kumuaodopt huyu mtoto kwa bwana mpya, hivi ni wapi mliambiwa kuna adoption ya damu?
 
Nilichogundua hii familia Ina pepo la utengano. Huyo alijetokeza Kama anamjua huyu dogo nae anashangaa kwanini hawawasiliani kwa miaka 13.... Funny enough mnakuja kutajana majina yenu halisi humu ukutani. Wachaga wakikutana kila mwezi wa 12 mnawatukana, ni mpaka watoto wenu watakapopeana mimba ndo mtajua umuhimu wa family reunion.

My word:
Wewe uliyejitokeza hapa Kama unamjua huyu mleta mada na wengine, fanyeni grand family reunion moja tu itawasaidia. Acheni upuuzi. Hata huyo mnaemtafuta anaweza asiwe msaada Kama nyie wenyewe hamna umoja. Gadem.
 
Hilo jina la ALEXANDER SESELELA ni sahihi kweli. Kuna makabila wanapenda kuwapa Watoto wao majina ya babu ndo kuwa majina ya baba zao Wako wengi sana na hii inasababishwa na machungu wakati mwingine kutendwa na mzazi wa kiume.
Usichoke kutafuta utampata tu, ukipata Muda nenda kwa makampun ya magazeti na media vyombo vya habari kama radio waandike taarifa zako za muhimu
Sawa kaka nitaendelea kufuatilia kote huko
 
kwavile unaishi na ndugu wa mama jaribu kuwauliza, kipindi anakuzaa alikua anaishi maeneo gani? kina nani walikua karibu nae (marafiki na ndugu wa karibu wa mama), unaweza kupata starting point nzuri
 
Pole sana! Ndugu yangu! Mimi najua maswali mengi unayo kuwa nayo unapokuwa kwenye hali kama hii sababu na mimi nimepitia hali hii nilikuja kutana na baba nimemaliza chuo kikuu baada ya kuniacha sijaanza hata nursery. Kwa hiyo nakuelewa sana
Asant sana ndugu yang..c unajua majaribu tumeumbiwa binadaam..

life goes on no matter wat
 
Back
Top Bottom