- Thread starter
- #61
Mama yangu alikuwa ni mfipa lakin kwa kumbu kumbu zangu cjawah kusikia kama ameishi sumbawanga zahid ya kwenda kusalimia na kurudi.. na hapo hapo alikuwa mtumishi wa serikal kuptia askar magereza.. na ktu kingine ninachofaham kuhusu ukoo wa mama angu n kuwa hakuna ukaribu kila mtu anaishi kivyake na familia yakekuna wadau wanaulizia asili ya mama yako, nayo hujui? inawezekana hujui kwa sababu ambazo pia sisi hatujui, hata hapo ulipokulia nao hawajui hata ukoo wa mama? nia yetu ni wewe upate msaada unaohitaji, ndo maana unaona kila mmoja ameguswa na uzi wako! hebu funguka kdg basi kwa unachofahamu kuhusu mama make umeshasema kuhusu baba hujui lolote zaidi ya jina, ingawa pia hata hilo jina utakuwa umesikia kama si kwa aliyekulea basi mama, that means walau ulikuwa na uelewa flani wakati wa uhai wa mama