Namtafuta baba yangu na ukoo wake

Namtafuta baba yangu na ukoo wake

Dhaaa ebhana tunafanana story yan mpaka now me cjui kosa la me.nilikua naogopa kumuuliza mother may be ningemtia machungu.sasA nae ndo ivo mungu kampenda now nipo home ata sijui nianzie wapi dhaa adi nimeshindwa kwenda chuo story yako imenitonesha bro mungu akusaidie2 mungu wetu sote
Japo nimelelewa na wazazi wote na mpaka sasa wapo na mm nina familia, nmesoma comment yako machozi yamenitoka, pole sana mkuu
 
Vyema ungeongezea maelezo, mama yako alikuwa akiishi wapi..na ni miaka ipi..na enzi hizo hata kwa kusikia baba na mama yako walikuwa mkoa gani? Tia tia vitu ambavyo vitaleta maana.

Hatujala na hata tukila hatushibi.
Mama yangu alikuwa n askar magereza..tulikuwa tunaishi mim na yey tabora kabla ya mwaka 2001 kuamia mby na 2002 yey kufarik.. sijawahi kusikia chochote kuhus baba wala kumuona
 
nakuombea umpate jamani..mi mwenyewe nlihangaika nkaeka na bandiko humu.nkaenda hadi fb na insta but nliambulia kujua asili ya surname yake ni uchagani huko.wengi hawamjui.ila ntaendelea
 
ndgu taarifa hazijitoshelez mbona,jalibu kuorodhesha yafuatayo
taalifa za mama
i.yy aliitwa nan
ii.kabila gan na alikuwa mkaz wa wap
iii.alikwambia alikutana wap na baba yako
iv.marafik wa mama yako ambao baba yako anaeza kuwa anawafaham
v.mama alikuwa na mwonekano gan na haiba gani

taarifa za baba pia angalau weka
i.kabila lake
ii.mama kakwambia baba alipendelea maeneo gan hapa tz
iii.baba alikuwa anajishughulisha na kaz gan
iv.alikwambia baba anaonekana vp
v.taja angalau rafk yyte wa baba ambaye mama alikwambia iki kama baba hayupo angalau rafiki akupeleke ukaone kaburi na ufaham ndguzo
vi.waliishi wap na je mama aliwah kukwambia kwann baba aliondoka!!!
mungu akutangulie katika juhudi zako za kutafta ndguzo
Mama alikuwa anaitwa marietha zacharia na alikuwa ni mfipa.. kuhusu upande wa baba sifaham chochot
 
nakuombea umpate jamani..mi mwenyewe nlihangaika nkaeka na bandiko humu.nkaenda hadi fb na insta but nliambulia kujua asili ya surname yake ni uchagani huko.wengi hawamjui.ila ntaendelea
Hebu nipe jina nijaribu..na mlikuwa mwaishi wapi na miaka ipi?
 
Fanya kitu kimoja nenda sehemu uliko zaliwa/alipokuwa anafanyakazi mama then utapata detail zote maana naamini huko utawapata marafiki wa mama wao ni rahisi kumfahamu baba yako
 
Japo nimelelewa na wazazi wote na mpaka sasa wapo na mm nina familia, nmesoma comment yako machozi yamenitoka, pole sana mkuu
Inauma Maisha bila wazazi ,kwa age yetu ambayo tunaitaji mawazo yao,kuendelezwa kielimu ila me bibi angu aliniambia soma atakutafuta mwenyew tutafika mungu huWa achelewi
 
Sio mim tu hata mama angu mkubwa wakat anakuja kunichukua na kunilea yey mwenyew alikuwa aelewi chochote ila alikuwa anampa msaada mdogo wake wake ambaye n marehem.. kwa alikuwa anaendeleza aliponikuta na historia ya nyuma kuhusu mahusiano ya mama angu yey hana.. Mama mkubwa alikuwa dar na shughuli zake wakat mama anafariki na mama alikuwa mby.. kwa hyo si unaona huo umbal hapo kat kat ndio kipimo cha maisha yao wakat mama ni mzima
 
Sio mim tu hata mama angu mkubwa wakat anakuja kunichukua na kunilea yey mwenyew alikuwa aelewi chochote ila alikuwa anampa msaada mdogo wake wake ambaye n marehem.. kwa alikuwa anaendeleza aliponikuta na historia ya nyuma kuhusu mahusiano ya mama angu yey hana.. Mama mkubwa alikuwa dar na shughuli zake wakat mama anafariki na mama alikuwa mby.. kwa hyo si unaona huo umbal hapo kat kat ndio kipimo cha maisha yao wakat mama ni mzima
Pole sana. Unajua ulizaliwa wapi? Kama ndio, je ulikulia hapo hapo ulikozaliwa? Kujua eneo ulikozaliwa ni muhimu kwani kuna uwezekano ndio eneo huyo baba yako alikuiwa anaishi.
 
Pale Kongwa na Morogoro zilipowekwa kambi za Wapigania Uhuru wa South Africa, kuna watoto wengi sana Waliachwa (waliozaliwa na Wenyeji na Hawa wasouth) hivyo kukuta Jina la Kizulu maeneo hayo Usishangae na labda huyo SESELELA ni mmojawapo (nimetumia labda).
Hata mimi nikiwaza hilo. Mazimbu Morogoro waliachwa watoto wengi na siyo Mazimbu tu tuseme Mkoa wa Moro kwa ujumla hasa pale mjini. Huyo kijana kama ametokea maeneo hayo basi anaweza kuanzia hapo.
 
Too sorry ,i can feel , the way it tests to live without any bloodly related person..may God easier your wish
Asant sana mkuu.. nmezoea lakin hata kama kuna som of tyms kuna mambo yanatokea unakuwa una wahtaj bac unatulia tu kiumee na mambo yanaenda kibish
 
Dhaaa ebhana tunafanana story yan mpaka now me cjui kosa la me.nilikua naogopa kumuuliza mother may be ningemtia machungu.sasA nae ndo ivo mungu kampenda now nipo home ata sijui nianzie wapi dhaa adi nimeshindwa kwenda chuo story yako imenitonesha bro mungu akusaidie2 mungu wetu sote
Polee sana mkuu lakin mungu yupo na watu wake na anamakusud na kla kinachotokea dunian kikubwa n kuendelea kumuamin tu
 
Mama alikuwa anaitwa marietha zacharia na alikuwa ni mfipa.. kuhusu upande wa baba sifaham chochot
Aisee ww ni ndg yangu upande wa mama yako ..story nilizo wahi kusikia ni mzee wako hakuwa mtanzania ...muulizie mjomba Evance hapo simike mbeya ...babu yako si mzee Zakaria Mangazini ?? Asili ya akina babu ni milepa huko mtowisa ...au muulizie mama yako mkubwa Leocadia zakaria mangazini yupo maeneo ya ubungo kibangu dar...najua anamjua huyo baba yako na asili yake ni wapi ...pole sana mdogo wangu
 
Back
Top Bottom