Namtafuta baba yangu Gervas Kalilo

Me nakushauri achana nae kwanini yeye hakutafutii wewe ni mkubwa Sasa unapaswa kutulia na mume wako.
Maisha hayapo hivyo mzee mwenyewe nimekua nikiwa naliona tuta la baba nje kwetu ukimuona mtu anamtafuta baba yake muheshimu sana wengine tunatamani hii fursa ila tunajikuta wazee 6 foot chini since tupo miezi nane.

Mleta mada hongera kwa kujitambua na kutamani kuijua asili yako Mungu atakusaidia umpate mzee ktk hali yoyote uendelee kumheshimu na kumthamini.
 
Amen bora umeongea kaka binafsi natamani hata nilione kaburi mtu hawez kuelewa maumivu ya mtu mwingine isipokua muhusika tu ndo anajua InshaAllah natumaini kama yupo bhas ipo siku nitamuona au kupata Habari zake za uhakika 🙏
 
Pole sana kwa changamoto hyo

Ila cha kukushauri nenda facebook kuna ukurasa unaitwa crubTz kule ndo wafanya kazi hii ya kuunganisha familia zilipotezana kwa muda mrefu
Yan ndani ya muda mfupi tangazo lako likipandishwa tu mtu wako atapatikana awe hai au la
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…