Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,241
- 113,615
I will always say, UDSM is still the best not only in Tanzania but in Africa and the world at large..
Wow....just wow
I will always say, UDSM is still the best not only in Tanzania but in Africa and the world at large..
I will always say, UDSM is still the best not only in Tanzania but in Africa and the world at large.. Nimesoma pale, nimemaliza nimefanya kazi nimerudi pale now. Hawa wanaongea kishabiki tu wanafkiri kufika Mlimani ni lelemama' Angalia ni watu wangapi wenye heshima duniani wanakuja na wanazidi kutaka kuja Mlimani, Thabo Mbekhi alikuja, Samir Amir alikuja achilia mbali wasomi wa nchi nyingine ambao kila siku wanakuja pale kwa either joint programs na mambo kama hayo. Wanakiamini UDSM na wanajua tu sio historia ila pia na idadi ya machapisho inayofanywa na watu walioko pale.
Lakini pia kuna nduigu zetu wamesoma pale hawataki kurudi, kila wakitaka kuongea wanaenda UDOM, wanajua UDSM ina utamaduni wake ni chuo cha kimapinduzi kihistoria na na kinatoa watu makini na walimu wake wengi ni watu makini na wanaoheshimika sana duniani' Na kama hawajui sidhani kama Dr. Asha Rose Migiro ana opinion sawa na wewe juu ya UDSM. Na kila siku anasema anatamani kurudi pale.
Ninachotaka kusema hapa ni kwamba UDSM si pahala pa vilaza, Watu makini wanapapenda na kila siku wanataka kurudi ili kuleta mawazo makini, ila vilaza na wababaishaji hawataki kuja wala kurudi maana si pahala pao pale'
UDSM is the best in the country na kwa kuangalia watu wengi waliopo pale najua itabaki kuwa hivyo, yatachoka majengo ila mawazo imara na utamaduni wa chuo kile utabaki imara pia!!
au unatamani chuo kikuu cha kata dodoma?? !!!