The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 10,959
- 13,424
Kama wao wamesema watamsaka wamuue, kwanini naye asiwafanyie kama Ayatollah Khomeini did to Salman Rushdie? Jino kwa jino ili waonje ladha ya dawa yao waone utamu wake. Nimeudhika namna walivyoua mahululaini wa kiajemi. Poleni waamini na mnaongojea kufa na kupewa hao wadude. KKKKK. Naomba watumwa wa kambi hizi mbili za dini za kigeni ambao ni mods humu JF wasiue uzi wangu.