Namshangaa mume wangu kugoma kunipa unyumba

Namshangaa mume wangu kugoma kunipa unyumba

Dah! Miezi miwili? anajirusha wapi huyu mpaka inatimia miezi miwili bila hata kukugusa mkewe!?

Inakuwaje mume wako wa ndoa anakunyima unyumba yapata miez miwili au wakAti mwingine mwezi mmoja. Hata ukambembeleza anakataa. Je nifanyeje. Nataka niachane naye asije niletea matatizo.ushauri please
 
tafuta wa kumpa huo utamu ila usijiachie sana na usiulize kuhusu utamu we kausha
 
Inakuwaje mume wako wa ndoa anakunyima unyumba yapata miez miwili au wakAti mwingine mwezi mmoja. Hata ukambembeleza anakataa. Je nifanyeje. Nataka niachane naye asije niletea matatizo.ushauri please
Kuna mambo meeengi yanaweza kuwa chanzo
Michepuko
Gubu
Usafi wa mwili wako
Jogoo kutokupanda mtungi
. Nk kaa naye muulize
 
Unyumba ni maandaliz lazma utengeneze mazingira kwanza akirudi jion muandalie chakula,maji ya kuoga piga nae story na jaribu pia kuvaa mavaz ambayo yatamvutia muda huo na sisi wanaume nikiumbe dhaifu tukiona tu unakuta hisia znakuja hapo hapo tengeneza mazingira vinginevyo utasaidiwa
 
We mwongo, hakuna mwanamme anaeweza kulala kitanda kimoja na mwanamke miezi miwili bila kunaniliii, hata Kama wamekosana, pia hakuna kosa linalosameheka analoweza kaa nalo mwanamume miezi miwili, labda ugonjwa uingilie kati.
 
Acha kumuomba uone atakavyopata wivu akiwaza kuna mtu anayekupa anacho kunyima yeye.
 
Baki kimya nawe tafuta uwanja wa nje haiwezekani miezi 2 na zaidi hampeani unyumba sa mlioana ili mtizamane au mlale kama wote ni wa jinsia moja dawa ya mtu kama huyo ni kupata mbadala
 
1473008023912.jpg
 
Back
Top Bottom