nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
kiujumla tume ya uchaguzi haijawahi kuwa huru kamwe. kitendo cha rais kikwete kubadilisha watendaji wa tume wakati kampeni za uchaguzi zimekwisha aanza kinaondoa zana nzima ya uhuru wa tume.
Mtakufa kihoro na ufisadi wenu mwaka huu mlipokuwa mnaiba mlidhani mwisho wenu hautafika?Kikwete asidhani atasalimika kwa kuitumia Tume!
Kila Mtanzania anafahamu kuwa CCM inaondoka sasa!
Tume wakati wote imeundwa na raisi!
Kwanini Mbowe atake kuipangia tume nani awe mjumbe nani asiwe!
Ni tume ya taifa tu (NEC) iliyokosa Uhuru!
Yeye aseme ni tume ipi iliyomkata Slaa?
Je chadema iko huru?
Aache kujitia utakatifu asio kuwa nao!
Kwani kuna sheria inayomzuia kufanya mabadiliko sasa au hata kesho?Jiulize kwa nini kikwete afanye mabadiliko sasa?kwa nini mwenye akili asitilie shaka?tuache mihemko isiyo na maana,tuangalie kwa mapana sababu hasa za mabadiliko hayo.,na athari zake katika kujenga demokrasia ya kweli nchini.
Hiyo ndio hoja ya kujadili kuwa Tume haiko huru muda wote na sio sasa baada ya kubadili baadhi ya Maafisa.kiujumla tume ya uchaguzi haijawahi kuwa huru kamwe. kitendo cha rais kikwete kubadilisha watendaji wa tume wakati kampeni za uchaguzi zimekwisha aanza kinaondoa zana nzima ya uhuru wa tume.
October kuna nini nyie malofa,mmeuza chama mtegemee kuangukia pua.na baada ta hapo mpotee kimojaLaghai? Haya, tusubiri oktober! Mark my words!
Mtakufa kihoro na ufisadi wenu mwaka huu mlipokuwa mnaiba mlidhani mwisho wenu hautafika?
Kwani Sheria inamtaka afanye lini?
Hao wasomi wengi wamechangia nini kuhusu Demokrasia ndani ya Chadema Zaid ya kuburuzwa na maamuzi ya Mbowe.?
Kama wasomi wenyewe ndio wale wanaokubali demokrasia kuminywa ndani ya chama, wasio na uwezo wa kumkosoa mwenyekiti wao, basi afadhali mambumbu wa ccm wanaoruhusu Demokrasia ndani ya chama Chao hata kama inamashaka.