Namshangaa Mh. Mbowe....!!

Namshangaa Mh. Mbowe....!!

kiujumla tume ya uchaguzi haijawahi kuwa huru kamwe. kitendo cha rais kikwete kubadilisha watendaji wa tume wakati kampeni za uchaguzi zimekwisha aanza kinaondoa zana nzima ya uhuru wa tume.
 
Tume wakati wote imeundwa na raisi!
Kwanini Mbowe atake kuipangia tume nani awe mjumbe nani asiwe!
Ni tume ya taifa tu (NEC) iliyokosa Uhuru!
Yeye aseme ni tume ipi iliyomkata Slaa?
Je chadema iko huru?
Aache kujitia utakatifu asio kuwa nao!

Jiulize kwa nini kikwete afanye mabadiliko sasa?kwa nini mwenye akili asitilie shaka?tuache mihemko isiyo na maana,tuangalie kwa mapana sababu hasa za mabadiliko hayo.,na athari zake katika kujenga demokrasia ya kweli nchini.
 
Jiulize kwa nini kikwete afanye mabadiliko sasa?kwa nini mwenye akili asitilie shaka?tuache mihemko isiyo na maana,tuangalie kwa mapana sababu hasa za mabadiliko hayo.,na athari zake katika kujenga demokrasia ya kweli nchini.
Kwani kuna sheria inayomzuia kufanya mabadiliko sasa au hata kesho?

Kwani hiyo tume kabla ya kubadili maafisa ilikuwa huru, tunaomba mseme ni sheria ipi iliyovunjwa kwa kubadili maafisa wa Tume wakati huu.
 
kiujumla tume ya uchaguzi haijawahi kuwa huru kamwe. kitendo cha rais kikwete kubadilisha watendaji wa tume wakati kampeni za uchaguzi zimekwisha aanza kinaondoa zana nzima ya uhuru wa tume.
Hiyo ndio hoja ya kujadili kuwa Tume haiko huru muda wote na sio sasa baada ya kubadili baadhi ya Maafisa.

Tatizo la Mbowe ni kujenga hoja za msimu na sio za kudumu.

Mbowe anajua sheria inamruhusu Rais kufanya mabadiliko wakati wowote anapoona inamfaa.
 
Kikwete mtu mbaya sana. Na historia mbaya ya kuvurunda kila anachoshika itakaa inamdhalilisha milele. Nitaje machache
1) Alikuta dola ni sh 600 anaiacha 2200. Kifupi amedidimiza uchumi maradufu
2) Bei ya vyakula (sukari na unga) kupanda mpaka kufikia watu wana survive kwa mlo mmoja. Sina muda wa kutaja vyakula vyote
3) Alikuta tembo ni 155,000 anaacha 35,000
4) Alidandia katiba mpya akavurunda vibaya
5) Ndo raisi anaongoza kwa kusafiri duniani, kasafiri mara 410 sawa na miaka 5 na miezi 6 yupo angani au ugenini.
6) Deni la nje kutoka kila mtu kudaiwa laki 4,mpaka laki 8 hadi mtoto mchanga
7) Jemedari mkuu wa majeshi na usalama anaeogopa kuwataja au kuwakamata wauza unga na majangili. (Aibu kubwa hii)
8) Rais ambae alielazimika kubadili baraza la mawaziri kwa kashfa za Richmond na Escrow
9) Rais aliepelekea kusababisha vituo vya polisi kutoka kuwa sehemu salama mpaka sehemu hatari. Ukilala kituo cha polisi unalala roho juu.
10) Rais anae dharauliwa na mawaziri wake kila mmoja akishutumu uongozi mbaya, kana kwamba huyo waziri ni mpinzani.
 
Mtakufa kihoro na ufisadi wenu mwaka huu mlipokuwa mnaiba mlidhani mwisho wenu hautafika?

Ni ujinga unaofanywa na wapinzani, na wataendelea kuwa wanaongea kwa sauti kubwa isiyokuwa na mafanikio, kwann nasema hivyo? siku zote tume si huru na inapofika wakati wa chaguzi ndo waaanza kupiga kelele zao, wasipoweka nguvu yao kwa madiwani na wabunge itaendelea kuwa shida, ili tupate tume huru ni lazima tuwe na wabunge wa kutosha ili kurekebisha sheria kandamizi, wao nguvu yao ni kutaka Urais na si wabunge.
 
Hao wasomi wengi wamechangia nini kuhusu Demokrasia ndani ya Chadema Zaid ya kuburuzwa na maamuzi ya Mbowe.?

Kama wasomi wenyewe ndio wale wanaokubali demokrasia kuminywa ndani ya chama, wasio na uwezo wa kumkosoa mwenyekiti wao, basi afadhali mambumbu wa ccm wanaoruhusu Demokrasia ndani ya chama Chao hata kama inamashaka.

Demokrasia ipi mkuu ktk Ccm? Hiyo yakukiuka katiba ya chama kwakuipa mamlaka sekretalieti ya maadili kuchuja wagombea wakati hiyonikazi yakamati kuu kwamujibu wakatiba ya chama?

Hiyo yakuwaambia waziri mkuu namakamu warais kwamba hawana maadili badala yake wenye maadili ni Makamba na Membe?
Hivi unataka kunambia hujaona tatizo ktk huo mchakato mpk sasa mkuu? Unadhani mpk dakika hii Ccm nimoja? Basi inawezekana either nimtoto wewe Ccm huijui vizuri kama hujagundua matatizo makubwa yaliyotokea baada yamchakato nabado unaamini Ccm nimoja basi nimchanga ktk ktk hicho chama. Waulize wakongwe wakupe hali tete ilivyo ktk chama ili ujue unaposimamia.
 
Back
Top Bottom