Namshangaa Mh. Mbowe....!!

Namshangaa Mh. Mbowe....!!

Unapo sema sisi watanzania ni wewe na familia yako na is vinginevyo

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Kitu kinachonikera huku UKAWA ni mwiko kutoa mawazo...au maoni tofauti na ya kwao....wao wanatutaka wote tuwe na fikra na mawazo yanayofanana....jambo ambalo haliwezekani....

Wito wangu kwa wanamabadiliko ni kwamba tujifunze kusikia hata yale yasiyopendeza masikioni mwetu....kwani hiyo ndiyo demokrasia tunayoihubiri majukwaani......kinyume na hapo ni udikteta.....
 
Mbowe anaposema kuanzia leo Tume haiko huru, huko nyuma ilikuwa huru.?

Jiongeze. Dalili za uwazi na uwajibikaji kwa tume ya Taifa ta Uchaguzi zilianza kuonekana ktk uchaguzi huu kiasi wananchi tukaanza kuwa na imani na tume hiyo. Bila shaka kama una akili timamu na ziko active, utaona kuna tofauti kubwa ya kiutendaji. Kwa kifupi, Lubuva & Co ni tofauti na awali.

Kubadilishwa kwa wakurugenzi on eleventh hour kumeondoa ile chembe ya imani iliyoanza kujengeka katika mioyo yetu na hicho ndio kimempelekea Mh. Mbowe kusema alichosema. Sasa sijui kuna mada gani hapa ya kukutoa mishipa ya koo km mtu anayeomba kura kwa tiketi ya CCM!
 
Nina shaka na uwezo wako wa kuelewa mambo
Hujafafanua sheria gani iyokiukwa inayolalamikiwa na Mbowe, Kwani Rais kuteua na kubadilisha wafanyakazi wa Tume ni kosa.

Hata kama hao wafanyakazi ni Usalama wa taifa na wanajeshi, je sheria inamkataza Rais kuteua wafanyakazi toka kada hizo.

Mbowe mwenyewe analalamika lakini hasemi sheria gani imevunjwa.?
 
Tume wakati wote imeundwa na raisi!
Kwanini Mbowe atake kuipangia tume nani awe mjumbe nani asiwe!
Ni tume ya taifa tu (NEC) iliyokosa Uhuru!
Yeye aseme ni tume ipi iliyomkata Slaa?
Je chadema iko huru?
Aache kujitia utakatifu asio kuwa nao!

Maswali magumuu
 
Jiongeze. Dalili za uwazi na uwajibikaji kwa tume ya Taifa ta Uchaguzi zilianza kuonekana ktk uchaguzi huu kiasi wananchi tukaanza kuwa na imani na tume hiyo. Bila shaka kama una akili timamu na ziko active, utaona kuna tofauti kubwa ya kiutendaji. Kwa kifupi, Lubuva & Co ni tofauti na awali.

Kubadilishwa kwa wakurugenzi on eleventh hour kumeondoa ile chembe ya imani iliyoanza kujengeka katika mioyo yetu na hicho ndio kimempelekea Mh. Mbowe kusema alichosema. Sasa sijui kuna mada gani hapa ya kukutoa mishipa ya koo km mtu anayeomba kura kwa tiketi ya CCM!

acha kujishaua mtu mzima,, imani ipi wakati nyie ndo mlisema tume haitaweza kuandikisha watu wote kwa muda sasa wameandikisha mpaka vituo vingine wakawa hawana watu kabisa sa izi mnajifanya kua na imani na tume.. nyie ni watu wa kulalamikia kila kitu, hamna maana yoyote
 
Hujafafanua sheria gani iyokiukwa inayolalamikiwa na Mbowe, Kwani Rais kuteua na kubadilisha wafanyakazi wa Tume ni kosa.

Hata kama hao wafanyakazi ni Usalama wa taifa na wanajeshi, je sheria inamkataza Rais kuteua wafanyakazi toka kada hizo.

Mbowe mwenyewe analalamika lakini hasemi sheria gani imevunjwa.?

Issue hapo NEC haiko huru kusimamia chaguzi. Kumbuka sio kila sheria inatenda Haki. Sheria nyingi zimetungwa na watawala kulinda masilahi yao.
 
Kimsingi Mbowe anapenda sana kulalamika, lakini akumbuke kwamba alisema wamemchukua Lowasa kwani ndo anajua wizi wa ccm, mbona tena anatapatapa?

Na wao wataangaika sana, kwani Mwl.Nyerere aliwahi kuwambia kwamba ni vema wakatafuta nafasi za kutumikia wananchi kwa maana ya serikali/mitaa, udiwani na ubunge alafu wakishaaminiwa wapewe nchi, walipuuza ushauri wa baba wa taifa, huwezi kuwa na wabunge 27 kati ya majimbo 266, alafu unataka Urais, ni aibu sana, wangetumia nguvu nyingi kwenye ubunge na udiwani maana yake tungepata hiyo tume huru na sheria nyingi zingekaa vizuri na ndo shida ya watz, wao wamekomaa na Urais wakati wagombea wao tena walio wengi hawana fedha za kufanyia kampeni, kila siku wimbo wao ni tume ya uchaguzi.

Kweli katika hali ya kawaida utawapatia nchi watu ambao kila kukicha ugombana kwenye nafasi za majimbo? hii nafasi ya Urais bado haiwafai kabisa.

Hakika unayo BUSARA, Natamani sana angalau 25% ya watz wangeweza kutambua hilo Ila basi tu TUTAKUMBWA NA HAYO MAAFA YA MAFURIKO
 
Kitu kinachonikera huku UKAWA ni mwiko kutoa mawazo...au maoni tofauti na ya kwao....wao wanatutaka wote tuwe na fikra na mawazo yanayofanana....jambo ambalo haliwezekani....

Wito wangu kwa wanamabadiliko ni kwamba tujifunze kusikia hata yale yasiyopendeza masikioni mwetu....kwani hiyo ndiyo demokrasia tunayoihubiri majukwaani......kinyume na hapo ni udikteta.....
Mkuu sidhani kama watakuelewa zaidi ya kukuita ccm au umenunuliwa.!
 
Haaminiki kwa CCM MAANA MIPANGO YAKE NA MANENO YAKE NI MOTO ULAO CCM!!!!!!Wana ukawa tuna muelewa sanaaaaa!!!!!!nakumuamin juuuuu yaan akil zake@ wabunge 100 wa ccm upo
 
Jiongeze. Dalili za uwazi na uwajibikaji kwa tume ya Taifa ta Uchaguzi zilianza kuonekana ktk uchaguzi huu kiasi wananchi tukaanza kuwa na imani na tume hiyo. Bila shaka kama una akili timamu na ziko active, utaona kuna tofauti kubwa ya kiutendaji. Kwa kifupi, Lubuva & Co ni tofauti na awali.

Kubadilishwa kwa wakurugenzi on eleventh hour kumeondoa ile chembe ya imani iliyoanza kujengeka katika mioyo yetu na hicho ndio kimempelekea Mh. Mbowe kusema alichosema. Sasa sijui kuna mada gani hapa ya kukutoa mishipa ya koo km mtu anayeomba kura kwa tiketi ya CCM!

Lini Chadema walitangaza wana imani na Time ya Uchaguzi.?

Tatizo mnaridhika na vitu vidogo vidogo mnasahau hoja za misingi.!
 
Kikwete asidhani atasalimika kwa kuitumia Tume!
Kila Mtanzania anafahamu kuwa CCM inaondoka sasa!
"Kila mtanzania" ina maana ya "unanimous"

Kwa hiyo basi hakuna haja ya kulalamika, kupiga kampeini na kufanya uchaguzi. Kufanya kampenini ni kuwaomba watanzania wasiotaka kukupa kura ili wakufikirie kukupa kura zao. Kabla ya kupiga kura, hakuna ajuaye mshindi ni yupi. Tuliofuatlia chaguzi hizi kwa muda mrefu tunajua kuwa wingi wa watu mkutanoni siyo reflection ya kura kabisa. Wengine huuhudhuria ili kuptisha muda tu kwa vile wanakuwa hawana la kufanya wakati huo.
 
Back
Top Bottom