Namshangaa Mh. Mbowe....!!

Namshangaa Mh. Mbowe....!!

Laghai huyu hawezi kuaminiwa kwa lolote. Ni laghai huyuhuyu aliyeudanganya umma kwamba Dr Slaa kapewa likizo.
Usipotoshe,alisema slaa kapumzika kidogo baadaye atatukuta tunaendelea. Tafsiri yake kwa waswahili ni likizo
 
Umejidhalilisha sana! Hata kama ni chuki hii yako imepita kiwango! LOWASSA ndiye Rais wako baada ya KIKWETE! Taka usitake!
Post zote kwenye uzi huu zinamwongelea mbowe na ulaghai wake, wewe unakuja na habari ya kufikirika ya urais wa lowasa, kulikoni?! Nionyeshe ni wapi nimemtaja rais wako lowasa kwenye uzi huu.
 
Umejidhalilisha sana! Hata kama ni chuki hii yako imepita kiwango! LOWASSA ndiye Rais wako baada ya KIKWETE! Taka usitake!
Kwa hii Tume ambayo Mbowe analalamika sio huru, kama anaamini atashinda kelele za nini kuhusu Tume ya Uchaguzi inayoundwa na Raisi.

Rais anauwezo wa kumbadilisha yoyote ndani ya Tume hata Lubuva Mwenyewe anaweza kutolewa muda wowote kama hamridhisha mwajiri wake,Katiba inamruhusu.!
 
Mkuu muda mwingine jaribu kuwa fair tu! Simamia unachokiamini, acha ushabiki!
Mkuu ushabiki upi, kuhoji kauli za kiongozi wangu zisizoeleweka, Sasa nitasimamia ninachokiamini vipi wakati anaeniaminisha mwenyewe haaminiki.?
 
Nyani haoni kundule hata kama linaachia uharo ovyo majukwaani.
Kamati kuu ya ccm ipo huru sana!
Sophia Simba, Nchimbi na Kimbisa walihoji na kugoma kuendelea na mchakato mwenyekiti alipokuwa hajarudisha jina la Lowasa.
Mwenyekiti alikuwa team Membe, wajumbe watamchagua Magufuli!
Hadi leo, kina Nchimbi wanaimba mtaisoma namba!
Je side B?
Mshenga na Mbowe na Lisu walikuwa na jina lao!
Cc inaambiwa huyu,, wao ni ndiooo! Kama Nyumbu tu!
Lissu na Mnyika hawaridhiki lakini wanaogopa wakihoji out!
 
Mheshimiwa Jaji mstaafu Lubuva tuthibitishie madai ya Ukawa kuwa tume yako ya uchaguzi imetawaliwa na maofisa wapya na askari jwtz waloteuliwa na Mh.Rais Kikwete.
Mzee Lubuva unapokaa kimya sisi wananchi tunayumbishwa na madai ya Ukawa na vyama vingine vya siasa ukizingatia kwamba wewe una utumishi uliotukuka,tuna imani na wewe.

Kwani Sheria inamtaka Rais kuteua wafanyakazi wa Tume toka kada ipi?
 
1. Ajabu na wewe CCM unakiri kwamba tume haijawahi kuwa huru.

2. Acha kupotosha kwani haa na sisi wengine tumeona hiyo habari.....amesema tume imekuwa ni ya usalama i.e. wameondolewa watenaji wake na sasa wamewekwa watu wa usalama ili wajipange kuiba kura.

3. Hamtafanikiwa maCCM, this time tutawapiga chini...hamchomoki z

Akihutubia wananchi wa Vunjo amesema Tume ya Taifa ya uchaguzi NEC haiko huru kuanzia leo,baada ya baadhi ya watendaji kubadilishwa hivyo kuanzia sasa wananchi watambue Tume yao haiko huru.

Hivi kabla ya baadhi ya watendaji kubadilishwa Tume ilikuwa huru?

Ina maana miaka yote Tume ilikuwa huru Hadi leo watendaji walipobadilishwa ndio imekosa uhuru.?

Mh.Mbowe uache kutulaghai wananchi na kutuona hatuna uwezo wa kufikiri wala kuona kinachoendelea ndani ya siasa zetu.!

Wengi tunaelewa Tume haiko huru miaka yote , hivyo unaposema kuanzia leo, unawafanya wenye uelewa wazidi kukushangaa kwa misimamo na kauli zako zenye ukigeugeu.!
 
Kimsingi Mbowe anapenda sana kulalamika, lakini akumbuke kwamba alisema wamemchukua Lowasa kwani ndo anajua wizi wa ccm, mbona tena anatapatapa?

Na wao wataangaika sana, kwani Mwl.Nyerere aliwahi kuwambia kwamba ni vema wakatafuta nafasi za kutumikia wananchi kwa maana ya serikali/mitaa, udiwani na ubunge alafu wakishaaminiwa wapewe nchi, walipuuza ushauri wa baba wa taifa, huwezi kuwa na wabunge 27 kati ya majimbo 266, alafu unataka Urais, ni aibu sana, wangetumia nguvu nyingi kwenye ubunge na udiwani maana yake tungepata hiyo tume huru na sheria nyingi zingekaa vizuri na ndo shida ya watz, wao wamekomaa na Urais wakati wagombea wao tena walio wengi hawana fedha za kufanyia kampeni, kila siku wimbo wao ni tume ya uchaguzi.

Kweli katika hali ya kawaida utawapatia nchi watu ambao kila kukicha ugombana kwenye nafasi za majimbo? hii nafasi ya Urais bado haiwafai kabisa.
Ndiyo maana tunawaambia wakipata robo ya majimbo Tanganyika wafanye sherehe kubwa sana.
 
miCCM mipuuzi sana ! Eti kiongozi wangu !

Mkuu ushabiki upi, kuhoji kauli za kiongozi wangu zisizoeleweka, Sasa nitasimamia ninachokiamini vipi wakati anaeniaminisha mwenyewe haaminiki.?
 
Akihutubia wananchi wa Vunjo amesema Tume ya Taifa ya uchaguzi NEC haiko huru kuanzia leo,baada ya baadhi ya watendaji kubadilishwa hivyo kuanzia sasa wananchi watambue Tume yao haiko huru.

Hivi kabla ya baadhi ya watendaji kubadilishwa Tume ilikuwa huru?

Ina maana miaka yote Tume ilikuwa huru Hadi leo watendaji walipobadilishwa ndio imekosa uhuru.?

Mh.Mbowe uache kutulaghai wananchi na kutuona hatuna uwezo wa kufikiri wala kuona kinachoendelea ndani ya siasa zetu.!

Wengi tunaelewa Tume haiko huru miaka yote , hivyo unaposema kuanzia leo, unawafanya wenye uelewa wazidi kukushangaa kwa misimamo na kauli zako zenye ukigeugeu.!

huyo hajielewi
 
Kimsingi Mbowe anapenda sana kulalamika, lakini akumbuke kwamba alisema wamemchukua Lowasa kwani ndo anajua wizi wa ccm, mbona tena anatapatapa?

Na wao wataangaika sana, kwani Mwl.Nyerere aliwahi kuwambia kwamba ni vema wakatafuta nafasi za kutumikia wananchi kwa maana ya serikali/mitaa, udiwani na ubunge alafu wakishaaminiwa wapewe nchi, walipuuza ushauri wa baba wa taifa, huwezi kuwa na wabunge 27 kati ya majimbo 266, alafu unataka Urais, ni aibu sana, wangetumia nguvu nyingi kwenye ubunge na udiwani maana yake tungepata hiyo tume huru na sheria nyingi zingekaa vizuri na ndo shida ya watz, wao wamekomaa na Urais wakati wagombea wao tena walio wengi hawana fedha za kufanyia kampeni, kila siku wimbo wao ni tume ya uchaguzi.

Kweli katika hali ya kawaida utawapatia nchi watu ambao kila kukicha ugombana kwenye nafasi za majimbo? hii nafasi ya Urais bado haiwafai kabisa.
Mkuu huyu Mbowe ameshagundua wafuasi wake wengi hawana uwezo wa kuhoji kauli zake.

Ndio maana inafika wakati anatoa kauli zinazopingana na misimamo yake ya awali.

Kama Taifa hatuitaji viongozi vigeugeu na wasiosimamia misimamo yao, Mbowe amedhihirishi hilo na kuwa hapaswi kuaminiwa Maana kauli zake zinategemea zaidi upepo wa kisiasa kwa muda huo.
 
Usipotoshe,alisema slaa kapumzika kidogo baadaye atatukuta tunaendelea. Tafsiri yake kwa waswahili ni likizo

Labda mwenzetu uliambiwa pekee yako ila sisi tulisikia yupo likizo ya wiki moja.
 
Akihutubia wananchi wa Vunjo amesema Tume ya Taifa ya uchaguzi NEC haiko huru kuanzia leo,baada ya baadhi ya watendaji kubadilishwa hivyo kuanzia sasa wananchi watambue Tume yao haiko huru.

Hivi kabla ya baadhi ya watendaji kubadilishwa Tume ilikuwa huru?

Ina maana miaka yote Tume ilikuwa huru Hadi leo watendaji walipobadilishwa ndio imekosa uhuru.?

Mh.Mbowe uache kutulaghai wananchi na kutuona hatuna uwezo wa kufikiri wala kuona kinachoendelea ndani ya siasa zetu.!

Wengi tunaelewa Tume haiko huru miaka yote , hivyo unaposema kuanzia leo, unawafanya wenye uelewa wazidi kukushangaa kwa misimamo na kauli zako zenye ukigeugeu.!

Kwahiyo unataka akiona kasoro NEC asiseme?
 
1. Ajabu na wewe CCM unakiri kwamba tume haijawahi kuwa huru.

2. Acha kupotosha kwani haa na sisi wengine tumeona hiyo habari.....amesema tume imekuwa ni ya usalama i.e. wameondolewa watenaji wake na sasa wamewekwa watu wa usalama ili wajipange kuiba kura.

3. Hamtafanikiwa maCCM, this time tutawapiga chini...hamchomoki z
Nyie ndio mnaomfanya Mbowe azidi kuonekana kituko mbele ya waelewa.

Kama Mwenyekiti wa chama kinachowania kuongoza nchi anatakiwa kuwa makini na kauli zake, nchi haiendeshwi kwa kubadili gia angani.
 
Back
Top Bottom