Namshangaa huyu jamaa yetu Jokolilo

Namshangaa huyu jamaa yetu Jokolilo

Chadema mawakala wa mafisadi wanapoteza muda wao bure tu.

Magufuli alipoahidi kujenga barabara ya lami kutoka mtwara mpaka bukoba, kama kawaida mafisadi chadema walijitokeza kuponda kwamba hiyo ni ndoto ya mchana.

Lakini leo chadema hao hao wanatumia hiyo lami kwenda kila kona ya nchi kueneza majungu na uzushi wa kishetani,


Shame on you
 
Chadema mawakala wa mafisadi wanapoteza muda wao bure tu.

Magufuli alipoahidi kujenga barabara ya lami kutoka mtwara mpaka bukoba, kama kawaida mafisadi chadema walijitokeza kuponda kwamba hiyo ni ndoto ya mchana.

Lakini leo chadema hao hao wanatumia hiyo lami kwenda kila kona ya nchi kueneza majungu na uzushi wa kishetani,


Shame on you
barabara alijenga mkwere..yy alisimamia tuuuu..fedha za mradi hakutafuta yy..acha kutafuta udc kindezi
 
Huyu wa awamu hii nadhani anaongoza kwa kubatizwa majina mengi sana
 
Back
Top Bottom