MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,700
- 71,102
- Thread starter
- #21
Enhee anafanana na JoloeJokolilo anafanana na ndege fulani hivi huko mbeya
Enhee anafanana na JoloeJokolilo anafanana na ndege fulani hivi huko mbeya
Sawa kabisa mkuu tupo pamoja[HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]
Unafikiri Jokolilo anajali, anajiona ana nguvu sanaHuku alikokanyaga sasa siko kabisa kuna kitu anakitengeneza madhara yake ni makubwa kuliko kupekua watu majumbani...
Mkuu kila chenye mwanzo hakikosi kuwa na mwisho...ni zama zake yanapita tuu haya ila kwa maumivu mno Melo ana tatizo gani na biashara yake...Unafikiri Jokolilo anajali, anajiona ana nguvu sana
Sana aiseeeUandishi Wa lugha iliyojificha. Nimekuelewa
We acha tu, wanataka tuishi kama mashetaniWatu hatuna raha nchini mwetu! Maisha magumu kodi mpaka kwenye vocha za simu bado hata huku tunakopumulia na kushusha pressure nako mnatufuata? Hapana hii sio sawa [HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]
Teh teh teh teh teh tehEnhee anafanana na Joloe
Magazeti yanabanwa, redio zinabanwa, tv zinabanwa, bunge linabanwa bado mpaka huku wanataka kubanaWatu hatuna raha nchini mwetu! Maisha magumu kodi mpaka kwenye vocha za simu bado hata huku tunakopumulia na kushusha pressure nako mnatufuata? Hapana hii sio sawa [HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]
Yaani anatia kichefuchefu[HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]
CcBig wa chattle coz you are no longer in our minds iven in our hearts.