ndupa
JF-Expert Member
- Jan 25, 2008
- 4,403
- 141
mi nadhan huyo ni mfano wakuigwa hasa kwa wasichana..vijana wengi tunataka penz then baada ya penz wht nxt kama si kumpiga chin...kama unavitamaa vyako na umekaririshwa probably na hao unaowajua kwamba ukiwa gf ni lazima ku-do ndugu umepotea!! ila kama kwel unampenda hutajuta kungoja..na hapo ndo mtapata ndoa nzur na yenye upendo wa kwel!!!Wana jf m nipo katika uhusiano na huyu mpenz sasa unaenda mwaka, tatizo lake n moja tu hatak kunipa penz.,kila nikimuambie kuhusu inshu hyo ya kuduu.' tunazinguana sana mashart anayonipa mi kama siyaelewi kabisa hiv utamsubiria mwanamke miaka nane bila kuduu hapa si napigwa changa tu ndugu sana..