Pukudu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 3,148
- 2,219
Au Dovutwa Fahmi Dovutwa watatufaa kuliko Sitta6 mnafiki nambari 1, akgombea urais ni heri hata nim'support pita kuga mzirayi.
Au Dovutwa Fahmi Dovutwa watatufaa kuliko Sitta6 mnafiki nambari 1, akgombea urais ni heri hata nim'support pita kuga mzirayi.
[SUP]Mbeya. Cabinet minister Samuel Sitta said yesterday that people who have plunged the country into the current power crisis must bear full responsibility for their actions."It's not enough to apologise to Tanzanians for the suffering they are going through… it must be said that all those who caused this misery must be held responsible," he told a forum organised by CCM members from universities in Mbeya Region.
Mr Sitta, who is also East African Cooperation minister and former National Assembly Speaker, said Tanzania was blessed with abundant resources that could be used to generate power for domestic consumption and export. "It is due to sheer greed that the nation is now in darkness," he said without mentioning names.[/SUP]
Sitta alikuwa anaongoza kundi la Mitume Kumi na Mbili wakati huo,ambalo ndilo lililoibuka tena(Sitta,Mwakyembe,Sendeka,Anna Kilango,Lazaro Nyarando,Stella Manyanya n.k) wanataka kutuaminisha kwama wao ni tofauti na wana CCM wengine.Wanataka kutuaminisha kuwa wao wapo kwa ajili ya masilahi ya Watanzania.Kundi hili limeibuka huko Mbeya na kutoa kauli za kuipinga serikali yao na kuwaunga mkono wapinzani,huku hoja kama hizo zinapotolewa na wabunge wa CHADEMA NA NCCR-MAGEUZI zinapingwa.
Matamshi aliyoyatoa jana Mbeya yanatofauti gani na wanayoyatoa wakina Dr.Slaa.CCM ni CCM tu.Sitta na wenzake ni walewale.Kama tutawapa nafasi nchi itavurugika zaidi ya hali ya sasa.
Malaria Sugu angekuwepo...kuna vilaza watakuja kukupinga
Asante mkuu kwa posti yako.Nampenda sana Samweli Sitta.Sitta mara nyingi huwa hafichi mawazo yake na uchu wa madaraka aliyonayo.Mwaka 2009 kulikuwa na tishio la kumfukuza Sitta uanachama wa CCM.Mara moja nikapenda move hiyo,na nikawaambia CCM kwamba haraka wamfukuze Sitta.Nilikuwa napenda Sitta afukuzwe uanachama wa CCM ili wananchi waone sura halisi ya Samwel Sitta.Na hata alipoenguliwa katika kinyang'anyilo cha Uspika,nilifurahi kwa sababu nilitaka kumwona Sitta mwenye madaraka na Sitta asiye na madaraka.
Lakini kwa kuwa Sitta ni mroho wa madaraka na kupenda kujikweza akashawishiwa kupewa uwaziri,naye akakubali kwa kuwa anajua kuwa bila madaraka hawezi kuwa Sitta wa sasa.Sasa anataka kukwea kileleni,na wala hana break.Amekuwa akitoa kauli mbalimbali ambazo zinaonyesha kuikosoa serikali ya CCM ambayo yeye ni miongoni mwao.Rudisha hisia zako nyuma kumbuka Sitta alivyoendesha suala la Richmond lililopelekea Lowassa kujiuzuru uwaziri mkuu,lakini mwisho wa siku hakuna kilichofanyika.
Sitta alikuwa anaongoza kundi la Mitume Kumi na Mbili wakati huo,ambalo ndilo lililoibuka tena(Sitta,Mwakyembe,Sendeka,Anna Kilango,Lazaro Nyarando,Stella Manyanya n.k) wanataka kutuaminisha kwama wao ni tofauti na wana CCM wengine.Wanataka kutuaminisha kuwa wao wapo kwa ajili ya masilahi ya Watanzania.Kundi hili limeibuka huko Mbeya na kutoa kauli za kuipinga serikali yao na kuwaunga mkono wapinzani,huku hoja kama hizo zinapotolewa na wabunge wa CHADEMA NA NCCR-MAGEUZI zinapingwa.
Kundi hili la mitume ni hatari sana kama wananchi hawatakuwa makini.Wote hao wanaongozwa na uchu wa madaraka,na sasa wanaona kuna nafasi ya kupenyeza mgombea wao katika uchaguzi wa 2015 kwa kuwa Kikwete hatagombea tena.Sitta anajua anachotaka.Wakati wa uchaguzi wa 2005,Sitta alikuwa upande wa mtandao uliomsaidia Kikwete kupata urais.Leo hii wana mtandao hao hawapatani,mulizeni Sitta nini kilichowagombanisha.
Kama Sitta atakuwa Rais au hata Waziri Mkuu ni hatari sana kuliko hata Pinda.Muda aliokaimu uongozi wa Shughuli za Bunge wakati Pinda hayupo,matamshi yake yameonyesha kuwa ni hatari sana,hasa walipowaita wapinzani kuwa ni wanafiki,huku akisahau kuwa Sitta ni mnafiki namba moja katika nchi hii.Matamshi aliyoyatoa jana Mbeya yanatofauti gani na wanayoyatoa wakina Dr.Slaa.CCM ni CCM tu.Sitta na wenzake ni walewale.Kama tutawapa nafasi nchi itavurugika zaidi ya hali ya sasa.
Ndugu Butola, hoja ya Sitta kuhusu wigo mkubwa wa uongozi, hata TANU mwaka 1961 haikuwa na uwigo mpana wa uongozi ukilinganisha na wakoloni. lakini haikuwa sababu wa Tanganyika kukosa kuchukua nchi. Wigo huo huo walio nao ndiyo umetufikisha hapa tulipo tukiwa hatuna jambo lolote la kujivunia na kusema kwa tufanikwa kufikia malengo. Sana sana tunazidi kurudi nyumba. Tusiangalie key performance indicators za absolute figures bali tuangalie kwa asilimia: umeme vs. mahitaji, elimu vs. mahitaji & ubora, mipango miji vs. mahitaji, n.k. Au tuangalie tu katika maadui watatu ambo serikali ya TANA (CCM) walivitaja mwaka 1961 na tulipo sasa.
Mkuu unapenda sana kutumia neno mwitikio lakini naona hulitendei haki kabisa. Ungesema mwitikio wa wana CCM waliosombwa kwa Malory, Mabasi, landcrizer na Bajaji ningekuelewa japo kidogo maana CCM ni wanafiki si unaona walivyomtosa MpesyaNot so fast...Baada ya kuisikiliza hotuba yake jana, na kuuona mwitikio wa wananchi nimelazimika kufikiri upya....
Sitta alikuwa anaongoza kundi la Mitume Kumi na Mbili wakati huo,ambalo ndilo lililoibuka tena(Sitta,Mwakyembe,Sendeka,Anna Kilango,Lazaro Nyarando,Stella Manyanya n.k) wanataka kutuaminisha kwama wao ni tofauti na wana CCM wengine.Wanataka kutuaminisha kuwa wao wapo kwa ajili ya masilahi ya Watanzania.Kundi hili limeibuka huko Mbeya na kutoa kauli za kuipinga serikali yao na kuwaunga mkono wapinzani,huku hoja kama hizo zinapotolewa na wabunge wa CHADEMA NA NCCR-MAGEUZI zinapingwa.
.
Mkuu unapenda sana kutumia neno mwitikio lakini naona hulitendei haki kabisa. Ungesema mwitikio wa wana CCM waliosombwa kwa Malory, Mabasi, landcrizer na Bajaji ningekuelewa japo kidogo maana CCM ni wanafiki si unaona walivyomtosa Mpesya
Mke wake ni mtoto wa aliyekuwa mchungaji wa kanisa la jeshi la wokovu tbr mjiniAhsante sana mkuu kwa kutupa nasaba ya 6!! Kumbe ni msukuma wa shinyanga!!! Na mkewe ni mtu wa zambia
duu kumbe ile kamati ilikuwa na lengo la kumuondoa lowasa tu?Ni kweli Sitta na kundi lake linaongozwa na chuki dhidi ya watu fulani kwa kisingizio cha maslahi kwa taifa! llishangaza watu pale mjadala wa richmond ulipozimwa bungeni huku maazimio ya kamati yakiachwa.