mwankuga JF-Expert Member Aug 30, 2010 334 120 Jul 17, 2011 Thread starter #41 Nafurahi kwamba unajua kwamba hujui.Mtu kama wewe ni rahisi sana kujua.
mwankuga JF-Expert Member Aug 30, 2010 334 120 Jul 17, 2011 Thread starter #42 Butola said: Not so fast... Baada ya kuisikiliza hotuba yake jana, na kuuona mwitikio wa wananchi nimelazimika kufikiri upya.... Click to expand... Watu walikuwa wengi sana,lakini tofauti na maandamano ya CHADEMA,CCM walilazimika kuwabeba wafuasi wao kutoka kila wilaya.
Butola said: Not so fast... Baada ya kuisikiliza hotuba yake jana, na kuuona mwitikio wa wananchi nimelazimika kufikiri upya.... Click to expand... Watu walikuwa wengi sana,lakini tofauti na maandamano ya CHADEMA,CCM walilazimika kuwabeba wafuasi wao kutoka kila wilaya.
mwankuga JF-Expert Member Aug 30, 2010 334 120 Jul 17, 2011 Thread starter #43 MTM said: nakupenda sana wewe kwa kuwa muwazi hata kama huna point Click to expand... Nami nakupenda kwa kutotoa point yoyote.
MTM said: nakupenda sana wewe kwa kuwa muwazi hata kama huna point Click to expand... Nami nakupenda kwa kutotoa point yoyote.