Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
ai iti sushi only.
Sio wabaya hujawajulia tu, ukiwajua utafaudu.......kam zis wei Konnie
Sio wabaya hujawajulia tu, ukiwajua utafaudu.......kam zis wei Konnie
Huna hata sababu ya kuuliza hapa wakti majibu tayari unayo.Huyo ni Tapeli/fisadi wa mapenzi..Ndio umeshalizwa hivo.Ganga yajayo
Mara kumi hata angekuwa verified user kama Lilian Masilago, sasa wewe mtu humjui tayaru umeshamzimia, hii inaonyesha umeathirika kisaikolojia na haujikubali pia umejinyanyapaa mwenyewe
mleta mada, sasa PESA inahusika vipi na LOVE? Au ilikuwa biashara? Nadhani una tatizo la MSINGI. Kifupi USHALIWA. Next time acha kuhusisha mapenzi na fedha/mali. Kwa NDANI havihusiani kabisa, hasa unapotafuta mtu wako.
he he he, kulea mwanamme wito lol
Nimependana na mwanaume kupitia mtandao mmoja hv na muda mfupi baada ya kupendana aliniomba nimsaidie pesa nikamwahidi kumpatia lakini nikawa nimepata tatizo kidogo hivyo ckufanikiwa kumpa kiasi chote alichoomba nikawa nimemtumia na alikuwa akionesha mapenzi ya hali ya juu ingawa hatujawahi kuonana tulipanga tuonane mwezi wa nane lakini ghafla amebadilika mawasiliano hakuna tena nikimpigia cm yake iko busy 24hours cjui ndivyo ameseti hivyo cha kunishangaza nikitumia namba nyingine cm inaita kama kawaida ila hapokei sasa juzi nilitumia namba nyingine alipokea na ananiambia kuwa anataka kuja kwangu kunitembelea sasa ndugu zangu naombeni ushauri kwa hili jambo
Ngoja nami niingie na ID ya kiume, nisajili Simu jina kiume; nianze kuzikusanya kutoka kwa desperate rich gals humu, with the avatar Kama ya BAK nitaweza jenga. LOL
Ngoja nami niingie na ID ya kiume, nisajili Simu jina kiume; nianze kuzikusanya kutoka kwa desperate rich gals humu, with the avatar Kama ya BAK nitaweza jenga. LOL
Nimependana na mwanaume kupitia mtandao mmoja hv na muda mfupi baada ya kupendana aliniomba nimsaidie pesa nikamwahidi kumpatia lakini nikawa nimepata tatizo kidogo hivyo ckufanikiwa kumpa kiasi chote alichoomba nikawa nimemtumia na alikuwa akionesha mapenzi ya hali ya juu ingawa hatujawahi kuonana tulipanga tuonane mwezi wa nane lakini ghafla amebadilika mawasiliano hakuna tena nikimpigia cm yake iko busy 24hours cjui ndivyo ameseti hivyo cha kunishangaza nikitumia namba nyingine cm inaita kama kawaida ila hapokei sasa juzi nilitumia namba nyingine alipokea na ananiambia kuwa anataka kuja kwangu kunitembelea sasa ndugu zangu naombeni ushauri kwa hili jambo
Nimependana na mwanaume kupitia mtandao mmoja hv na muda mfupi baada ya kupendana aliniomba nimsaidie pesa nikamwahidi kumpatia lakini nikawa nimepata tatizo kidogo hivyo ckufanikiwa kumpa kiasi chote alichoomba nikawa nimemtumia na alikuwa akionesha mapenzi ya hali ya juu ingawa hatujawahi kuonana tulipanga tuonane mwezi wa nane lakini ghafla amebadilika mawasiliano hakuna tena nikimpigia cm yake iko busy 24hours cjui ndivyo ameseti hivyo cha kunishangaza nikitumia namba nyingine cm inaita kama kawaida ila hapokei sasa juzi nilitumia namba nyingine alipokea na ananiambia kuwa anataka kuja kwangu kunitembelea sasa ndugu zangu naombeni ushauri kwa hili jambo