Nampenda sana lakini aniamini nifanyeje

Nampenda sana lakini aniamini nifanyeje

SIS DREAD

Member
Joined
Jan 3, 2013
Posts
33
Reaction score
2
Niko kwenye wakati mgumu sana ninaempenda aniamini hata kdg akiona niko online iwe fb, whats app na mitandao mengine anachanganyikiwa kabisa kwamba nachat nawanaume nishamwelewesha lakini wapi ata akinipigia cm bahati mbaya nisipopokea nikimwelewesha aniamini anahisi vibaya muda wote nifanyeje? mbona mm simfatilii kiasi hicho na namwamini hata nimwone online simwazii baya llte y me? nisaidieni wadau maana nahisi kumpoteza kwani ananifanya sina amani kila wakati ananilalamikia tu na wakati sina mahusiano yyte mengine zaidi yake.
 
I don't want to conclude but yawezekana milkutana katika mazingira ya kidigitali (online) ama mlitongozana kidigital...If not the case then he has inferiority complex or he lost his x because of digital communications..
 
mazingira mliyokutana ndo yanamtesa,kama mlikutana through mitandaoni basi ana wasiwasi unaweza kukutana na mwingine, wivu ukizidi ni kero endelea kumuelewesha may be some day ataelewa, asipoelewa then akili kichwani mwako cause m/ume wa hivyo akikuoa anaweza kukuachisha hata kazi!
 
kama unampenda unaweza kumjengea mazingira ya yeye kukuamini kwa kuacha au kupunguza yanayomfanya apoteze amani na wewe.
 
kwa nini unaogopa kumpoteza? huwezi kuishi bila yeye?[/QUOTE

naogopa kwasababu ya yy asivyoniamini inamaana tutaachana naumia kuachana nae sababu nampenda na sifanyi chochote kibaya
 
Hii mara nyingi huwa inatokana na mazingira mliokutana au kuanza uhusiano wenu,hali hii hujitokeza kama alikukuta na mwanaume wako tayari yeye akampiku,kulikuwa na mwanaume anakufukuzia na yeye akafahamu lakini akafanikiwa kumpiku,ulishawahi kumtenda lakini ukaamua kujirudi akakukubalia muendelee tena au ulishawahi kuwa na mwanaume mwenye uwezo wa kipesa zaidi yake ambaye yeye anamfahamu lakini kwa sababu moja au mbili mliachana,hivi ni vitu amabavyo vinawafanya wanaume wengi kukosa kujiamini na at last wanajikuta wana wanafanya wivu kupindukia.
 
Mpe password yako ya fb ili aone chart zako na jitahidi kupokea sim zake ili umuondoe wasiwasi?
Hi ni ujinga lolo, asiye kuamini hata umpe moyo wako akae nao hawezi kukuamini:biggrin1:Huo ni ugonjwa usio kuwa na dawa:biggrin1:
 
naogopa kwasababu ya yy asivyoniamini inamaana tutaachana naumia kuachana nae sababu nampenda na sifanyi chochote kibaya
kama kwa haki ya Mungu hufanyi chochote kibaya kwa nini unaogopa?
sikiliza mdogo wangu, huyo ni stress tupu, na ukimng'ang'ania ujue maisha yako yote utaishi kwa mashaka.
huyo hajakukuta kisiwani peke yako na atakuacha hivyo hivyo kwa watu.
acha kujilizaliza, mpe msimamo wako. kama anakutaka kweli aanze kukuamini.
nakuambia hivi sababu hakuna kitu ambacho naweza kukushauri ufanye ili akuamini. hata ukimpa simu/password zako/na chochote kile bado hataweza kukuamini, atafikiria unawasiliana na hao watu kwa kutumia njia nyingine.
kwa hiyo relax na endelea na maisha yako. usiogope kumpoteza, wako atakuja tu
 
Mpe password yako ya fb ili aone chart zako na jitahidi kupokea sim zake ili umuondoe wasiwasi?
mambo mengine ni magumu sana, hata akimpa pword ndo nini?
na kuhusu kupokea simu, sidhani kama huyu dada anaacha kupokea makusudi. ina maana awe na simu masaa yote sababu asimiss tu simu ya huyo mtu? who is he anyway!
 
mambo mengine ni magumu sana, hata akimpa pword ndo nini?
na kuhusu kupokea simu, sidhani kama huyu dada anaacha kupokea makusudi. ina maana awe na simu masaa yote sababu asimiss tu simu ya huyo mtu? who is he anyway!

Si amesema ni mtu ampendaye sana au?
 
I don't want to conclude but yawezekana milkutana katika mazingira ya kidigitali (online) ama mlitongozana kidigital...If not the case then he has inferiority complex or he lost his x because of digital communications..

marshal hatujakutana online sijui tu ana matatizo gani hata anashindwa kbs kuniamini.
 
Mtingishie kibiriti kidogo, ameshagundua unampenda ndo maana anakufanyia hivyo.
Hebu kata mawasiliano naye kwa wiki moja hivi uone kama hatojirudi mwenyewe.
 
kama kwa haki ya Mungu hufanyi chochote kibaya kwa nini unaogopa?
sikiliza mdogo wangu, huyo ni stress tupu, na ukimng'ang'ania ujue maisha yako yote utaishi kwa mashaka.
huyo hajakukuta kisiwani peke yako na atakuacha hivyo hivyo kwa watu.
acha kujilizaliza, mpe msimamo wako. kama anakutaka kweli aanze kukuamini.
nakuambia hivi sababu hakuna kitu ambacho naweza kukushauri ufanye ili akuamini. hata ukimpa simu/password zako/na chochote kile bado hataweza kukuamini, atafikiria unawasiliana na hao watu kwa kutumia njia nyingine.
kwa hiyo relax na endelea na maisha yako. usiogope kumpoteza, wako atakuja tu

ushauri umetulia.........kero sana pale mtu asipokuwa na imani nawe kila jambo unalofanya anapata wasiwasi hapo bado ndoa akikuoa na kazi unaachishwa wewe ni ndani kama utumbo sasa sijui huo ni wivu ama
 
dah umenigusa sana kwakwel kwani usemacho nakiona mbele yangu nishajaribu kumuacha two times bt anajiludi na kusema anaomba nifuate anachotaka yy kama kumpa password zangu zote kitu ambacho nimefanya lakini haijasaidia kitu anataka nikitoka tu kazini nizime cm zangu mbili ibaki moja tu anayojua haina internet wala haina no za marafiki lakini bado haniamini.

kama kwa haki ya Mungu hufanyi chochote kibaya kwa nini unaogopa?
sikiliza mdogo wangu, huyo ni stress tupu, na ukimng'ang'ania ujue maisha yako yote utaishi kwa mashaka.
huyo hajakukuta kisiwani peke yako na atakuacha hivyo hivyo kwa watu.
acha kujilizaliza, mpe msimamo wako. kama anakutaka kweli aanze kukuamini.
nakuambia hivi sababu hakuna kitu ambacho naweza kukushauri ufanye ili akuamini. hata ukimpa simu/password zako/na chochote kile bado hataweza kukuamini, atafikiria unawasiliana na hao watu kwa kutumia njia nyingine.
kwa hiyo relax na endelea na maisha yako. usiogope kumpoteza, wako atakuja tu
 
Niko kwenye wakati mgumu sana ninaempenda aniamini hata kdg akiona niko online iwe fb, whats app na mitandao mengine anachanganyikiwa kabisa kwamba nachat nawanaume nishamwelewesha lakini wapi ata akinipigia cm bahati mbaya nisipopokea nikimwelewesha aniamini anahisi vibaya muda wote nifanyeje? mbona mm simfatilii kiasi hicho na namwamini hata nimwone online simwazii baya llte y me? nisaidieni wadau maana nahisi kumpoteza kwani ananifanya sina amani kila wakati ananilalamikia tu na wakati sina mahusiano yyte mengine zaidi yake.

This is a private business. Hayatuhusu.
 
ebana kumwamini mtu ni kitu kigumu sana aisee asikwambie mtu mimi mwenyewe inanisumbu mpaka basi hii kitu..maaana kivuli chako tu saaa zingine hua kinapotea sembuse mtu..halafu huwezi force kumwamini mtu hua inatokea tu naturally..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom