propaganda za kichina bashite mpelekee mama yako karomije Magufuli taifa zima hatumpendi anaendesha mauaji manyanyaso na zaidi atupa nchi yetu kwa mabeberu anagalia anavyowamilikisha ardhi wchina machimbo ya dhahabu Barrick kwa share ya asilimia 16% utampendaje mtu anahamishia rasimali zote za taifa chato labda uwe mwenda wazimuTunampenda sana Rais wetu mkuu
Wachache wasiompenda Ni wale mafisadi na wauza madawa ya kulevya na wale wenye vyeti feki
Mungu ibariki Tanzania,
Mungu mbariki Rais Magufuli